Harmonize - Bakhresa - traduction des paroles en anglais

Paroles et traduction Harmonize - Bakhresa




Bakhresa
Bakhresa
Bounty
Bounty
Bakharesa
Bakharesa
Bakhre, bakhre
Bakhre, bakhre
Bakhre, bakhre
Bakhre, bakhre
Bakhre, Bakhresa
Bakhre, Bakhresa
Yeah
Yeah
Konde boy call me number one, number one
Konde boy call me number one, number one
Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia unacho kula
Boss wa karibia unacho kula
Huwezi muona kwa Tv ata kwa dharula
Huwezi muona kwa Tv ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo nwenye king'amuzi
Ingawa yeye ndo nwenye king'amuzi
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii
Hana huo muda wa makuziii
Masikini anawapa mitaji wagawane
Masikini anawapa mitaji wagawane
Na watu wazima
Na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha na wajane
Huwezi muona kwenye picha na wajane
Au mayatima
Au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba
Hawezi kujisifia nyumba
Wala magari range na bimaa
Wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba
Riziki anagawa muumba
Jalajalali kikubwa uzima
Jalajalali kikubwa uzima
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni yeah
Yeye sio limbukeni yeah
Mfano wa mtu mwenye pesa
Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa aah
Mfano wa mtu mwenye pesa aah
Ooh pesa aaaah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh uuh
I wanna smoke some weed uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
Uuuh uuh uh, uuh uuh uh
Uuuh uuh uh, uuh uuh uh
Bakhresa uuh, bakhresa uuh aah
Bakhresa uuh, bakhresa uuh aah
Bakhresa hajawahi kugombea cheo
Bakhresa hajawahi kugombea cheo
Au kujisifu na maendeleo
Au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah
Ghalibu boss wa yanga na GSM
Ghalibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu
Yeye ana utaratibu
Wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa
Akijisifu na pesa
Akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa
Na majigambo rumbesa
Bakhresa aah aah
Bakhresa aah aah
Natanzania pekee aliyee juu ya bakhresa
Natanzania pekee aliyee juu ya bakhresa
Ni raisi wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ni raisi wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ooh and guess what mama yuko peace
Ooh and guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea
Na ukimuona ametokea
Akiongea ni kwaajili yetu sisi
Akiongea ni kwaajili yetu sisi
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich
Eti I gat too much money am so rich
Mfano wa mtu mwenye pesa
Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa
Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh uuh (yao yao)
I wanna smoke some weed uuh uuh uuh (yao yao)
Tell them boys we got this new money, na we leave low key baby
Tell them boys we got this new money, na we leave low key baby
The mix killer (Jeshi)
The mix killer (Jeshi)





Writer(s): Rajab Kahali


Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.