Текст песни Itakuwa Sawa - Bahati
Nilipotenganishwa
tu
na
mama
Niliingia
kwa
mtaa
kutafuta
butter
Masela
walinata
Huku
na
kule
tumaini
la
kupata
Nisije
na
uchungu
Mito
mikubwa
milima
nilivuka
Natumaini
tu
kwa
Mungu
Awape
nguvu
nyumbani
niliowacha
Nikaamua
niende
mbali
Ii
mbali
na
nyumbani
Nikamua
niende
mbali
Ili
kusaka
ugali
Nikaamua
niende
mbali
Mbali
na
nyumba
Nikaamua
niende
mbali
Mbali
na
Itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Shangazi
mwambie
hasife
moyo
Itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Mwambie
roho
Itakuwa
sawa
Na
hivi
msichoke
Kukopa
dukani
paendapo
pangumu
Hivi
mniombee
Maisha
mjini
bado
ni
sugu
Na
hivi
msichoke
Kukopa
dukani
paendapo
pangumu
Hivi
mniombee
Maisha
mjini
bado
ni
sugu
Naelewa
na
uchungu
uliowabana
Naelewa
si
rahisi
kupambana
Naelewa
na
majozi
yamewakumba
Mama
baba
Naelewa
na
uchungu
uliowabana
Si
rahisi
kupambana
Naamini
tukimwamini
Rabana
Yote
itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Shangazi
mwambie
hasife
moyo
Itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Mwambie
moyo
Napita
mengi
na
si
utani
Wambie
eh
Sijadanganywa
na
burundani
Wambie
eh
Napita
mengi
na
si
utani
Wambie
eh
Sijadanganywa
na
burundani
Wambie
eh
Itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Shangazi
mwambie
hasife
moyo
Itakuwa
sawa
Kwa
hivi
waeleze
nyanya
na
babu
Itakuwa
sawa
Mwambie
moyo
Itakuwa
sawa
Mweleze
nyanya
Mweleze
mjomba,,(itakuwa
sawa)
Mweleze
masela
Musyoki
wa
benga
(itakuwa
sawa)
Mweleze
susana
(itakuwa
sawa)
Na
hivi
msichoke

Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.