Miki - Nikumbushe - перевод текста песни на английский

Nikumbushe - Mikiперевод на английский




Nikumbushe
Remind Me
Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele Pale mambo yanapoonekana
It's easy for my mouth to be filled with blame When things seem
Hayaendi Ni ajabu sana namna moyo unahangaika Ajabu sana moyo
Not going right It's so strange how my heart is restless It's so strange how my heart
Unavyoonyesha mashaka yakwamba Japokuwa Mungu anaishi ndani yangu
Shows doubt Even though God lives within me
Kuna muda nahofu, Japokuwa Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu,
Sometimes I fear, Even though God sits among us sometimes I fear,
Ahh Nakumbuka wana wa Israel katika bahari
Ahh I remember the children of Israel in the sea
Yashamu Japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi,
The Red Sea Although they crossed through the sea in victory,
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
I sing a song of praise in the midst of tears,
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwanaa.
With many songs they sang and praised the Lord.
Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa Yalibadilika mambo,
But after crossing and seeing the desert Things changed,
Manung'unikoo yalisimama Na
Complaints stood And
Kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah.
Forgetting the miracle that the Lord did at first aah.
Eee MUNGU Nisaidie ee eeh Nikumbushe wema wako nisije laumu
Oh God Help me oh oh Remind me of your goodness, lest I blame
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu Nikumbushe shuhuda zako ili
Remind me of your greatness in times of trouble Remind me of your testimonies so that
Nikusifu Niimbe wimbo wa sifa katikati ya
I may praise you I sing a song of praise in the midst of
Machozi, Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
Tears, I sing a song of praise in the midst of tears,
Eeh ee MUNGU Nisaidie Nisaidie kukumbuka baba yakwamba umenichora
Oh oh God Help me Help me remember, my father that you have drawn me
Kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh Na mimi umenionaa
In the palm of your hand, out of many who are in the world eenh And you have seen me
Oooh ooo Nikumbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya
Oooh ooo Remind me, my father that you are the one who healed me
Nilipoumwa Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni.
When I was sick That you are the one who paid my school fees.
Ouoh ooh Yakwamba kama ungeniacha hatua moja Nisingelifika nilipo ooh
Ouoh ooh That if you had left me one step I would not have reached where I am oh
Eee Babaa Umenikung'uta mavumbi,
Oh Father You have lifted me up from the dust,
Kung'uta Mavumbi mimi na kuniheshimisha.
Lifting me up from the dust and honored me.
Nikumbushe wema wako nisije laumu Nikumbushe ukuu wako wakati wa
Remind me of your goodness, lest I blame Remind me of your greatness in times of
Magumu Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu Niimbe wimbo wa sifa
Trouble Remind me of your testimonies so that I may praise you I sing a song of praise
Katikati ya machozi Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
In the midst of tears I sing a song of praise in the midst of tears,
Nikumbushe wema wako nisije laumu Nikumbushe ukuu wako wakati wa
Remind me of your goodness, lest I blame Remind me of your greatness in times of
Magumu Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu Niimbe wimbo wa sifa
Trouble Remind me of your testimonies so that I may praise you I sing a song of praise
Katikati ya machozi Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
In the midst of tears I sing a song of praise in the midst of tears,
Yesu nakutazama ninakuamini wewe Fungua maisha yangu,
Jesus I look at you I believe in you Open my life,
Nisaidie nisilalamike Mbele zako,
Help me not to complain Before you,
Katika hali zote nijue upo Umesema hutaniacha eeh Yahweh
In all circumstances let me know you are there You said you will not leave me eh Yahweh






Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.