Zuchu - Kwaru - перевод текста песни на английский

Текст и перевод песни Zuchu - Kwaru




Kwaru
Kwaru
Ayo Laizer
Hey Laizer
Aaaaaaahhh
Aaaaaaahhh
Aaaooaaah aah
Aaaooaaah aah
Roho ingekua na macho ingejionea
If my spirit had eyes, it would have seen
Moyo haufanyi kificho ukiotea
My heart didn't have a choice when you died
Mimi kipi nisonacho ungeongea
What do I have that you would want to talk about
Mwili wangu rojorojo nanyong'onyea aah
My body is red-hot, I'm in pain
Chungu nilichopika wamepakua wenzangu
They've drunk the bitter potion I brewed
Huruma napukutishwa wamechukua donge langu
They've taken my place, I'm left with nothing
Na kitabu changu cha mapenzi ukurasa umechana-chana
And the pages of my book of love are torn
Hazisomeki tena tenzi zimepoteza maana
The words are unreadable, the meaning is lost
Mpofu moyo wangu
You blinded my heart
Ulishindwa oonaa
You couldn't see
Hukuandikwa wa kwangu
I wasn't meant to be yours
Limenikaba nalitemaa
It's choking me, I'm cutting it loose
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisoda anaukwaruaa aah
He grabbed the soda and drank it all
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia aah
My heart is hurting
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu ana ukwaruaa
He's drinking it with such force
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia aah
Oh, my heart is hurting
Langu tatizo na chunda najimaliza
My problem is with the toad, I'm finishing myself
Mi nakesha kumuwaza
I stay awake thinking of him
Na weweseka lake jina oooh jina
And I whisper his name
Basi kwa unyonge najikaza niache kulia
So, in my despair, I force myself to stop crying
Maana kwake bahati sina (oooh sina)
Because I have no luck with him
Maumivu ameipora furaha yangu (uuh)
He has taken my happiness (uuh)
Amekwenda nayoo na
He's taken it with him
Zangu mbivu zimeniozea hasara kwangu (oooh)
And my ripe fruit has rotted, it's a loss for me
Yatapita hayo
It will pass
Mpofu moyo wangu ulishindwa ona
You blinded my heart, you couldn't see
Hukuandikwa wa kwangu
I wasn't meant to be yours
Limenikaba nalitemaa
It's choking me, I'm cutting it loose
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisoda anaukwarua aaah
He grabbed the soda and drank it all
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
My heart is hurting
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Aah ye kwa nguvuuu anaukwarua
Oh, he's drinking it with such force
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamaniii moyo wangu unaumia
Oh, my heart is hurting
Wasafii
Wasafii





Авторы: Zuhura Soud


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.