Linah - Tuliza Boli Lyrics

Lyrics Tuliza Boli - Linah



We hupagawi na sura, shepu sio vilivyo kuvutia
Ujanja wa Sungura, eti ndio kwako nukatulia.
Tena maneno hayatoshi kunieleza haitokuwa sawa
Kwangu ulipiga goti, maneno kunichombeza Sumu iwe dawa.
Nami kwako nimezama sikuelea sitokupa madhira
Hata wakisema sitaelewa sisikii tantarira.
Ila nawe



Writer(s): Linah


Linah - Tuliza Boli
Album Tuliza Boli
date of release
10-11-2018




Attention! Feel free to leave feedback.