Nandy - Nyanyasa Lyrics

Lyrics Nyanyasa - Nandy



Aaaah unaninyanyasa
Unaninyanyasa uhh
Unaninyanyasa uhh
Unaninyanyasa uhh
Unaninyanyasa
Mwili umekonda nimepungua
Haieleweki nachougua
Moyo kidonda unakwangua inauma sana
Mbele za watu unaniumbua sina la kusema
Visa unanifanyia japo navumilia ila naumia sana
Na siku ukijua kuwa unanikosea itakuwa too late japo
Unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Baby unaninya...
Unaniangusha chini aniokote nani
Japo ujui thamani yangu me nani ataitambua
Kwanza kumbuka baby si tumetoka mbali
Ukiwa huna siwazi nimekubali tuijenge familia
Visa unanifanyia japo navumilia ila naumia sana
Na siku ukijua kuwa unanikosea itakuwa too late japo
Unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa
Ahhh ahh
Unaninyanyasa



Writer(s): Nandy


Nandy - The African Princess
Album The African Princess
date of release
10-07-2020




Attention! Feel free to leave feedback.