Zuchu - Kwaru Lyrics

Lyrics Kwaru - Zuchu



Ayo Laizer
Aaaaaaahhh
Aaaooaaah aah
Roho ingekua na macho ingejionea
Moyo haufanyi kificho ukiotea
Mimi kipi nisonacho ungeongea
Mwili wangu rojorojo nanyong'onyea aah
Chungu nilichopika wamepakua wenzangu
Huruma napukutishwa wamechukua donge langu
Na kitabu changu cha mapenzi ukurasa umechana-chana
Hazisomeki tena tenzi zimepoteza maana
Mpofu moyo wangu
Ulishindwa oonaa
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitemaa
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisoda anaukwaruaa aah
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia aah
Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu ana ukwaruaa
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia aah
Langu tatizo na chunda najimaliza
Mi nakesha kumuwaza
Na weweseka lake jina oooh jina
Basi kwa unyonge najikaza niache kulia
Maana kwake bahati sina (oooh sina)
Maumivu ameipora furaha yangu (uuh)
Amekwenda nayoo na
Zangu mbivu zimeniozea hasara kwangu (oooh)
Yatapita hayo
Mpofu moyo wangu ulishindwa ona
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitemaa
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisoda anaukwarua aaah
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
Kwaru kwa kwaru kwaru
Aah ye kwa nguvuuu anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamaniii moyo wangu unaumia
Wasafii



Writer(s): Zuhura Soud


Zuchu - Kwaru
Album Kwaru
date of release
10-04-2020

1 Kwaru




Attention! Feel free to leave feedback.