Zuchu - Sukari Lyrics

Lyrics Sukari - Zuchu



Eti nimemlambisha ananambia chombezaa (chombeza)
Tena nikiizidisha ananambia kolezaa (koleza)
Nikitaka kusitisha ananambia ongezaa (ongeza)
Japo imesibitishwa ila itampoteeza a
Ikipanda ni bala (naogopa)
Ikishuka ndo hataali (naogopa)
Asije pata madhalaa (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Radha yake msalaa (naogopa)
Shila ya kizanzibar (naogopa)
Nami simpii mi wala
Akitaka nampa
Ai su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Na akilia njaa
Njuu njaa sifanyi ajisi
Namjazia jaa
Juu jaa na vitangawizii eeeh
Baba chanja baba chanja e (eeeeh)
Chukua vyote chukua (kulaa)
Vitafune nganjanganja e (eeeeh)
Chakua mwaya chakau (kulaa)
Ujibusti na karanga e (eeeeh)
Tuliza na kitumbua ila (kulaa)
Jiadhali na majanga we
Usije ukaugua mana
Ikipanda ni balaaa (naogopa)
Ikishuka ndo hataali (naogopa)
Asije pata madhala (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Radha yake msalaa (naogopa)
Shila ya kizanzibar (naogopa)
Nami simpii mi wala
Akitaka nampa
Ai su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
Suger sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Suger sukari (nampatia)
Nimloge kwanini kashanogewa (daambua dambua)
Udambu wa sukarini tamu kolea (daambua dambua)
A sema da dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Alua aluaa (dambua)
We dambua (dambua)
A sema da dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Inama kama unafua (dambua)
Kigulu nyanyuaa (dambua)
Ey




Zuchu - Sukari - Single
Album Sukari - Single
date of release
20-01-2021

1 Sukari




Attention! Feel free to leave feedback.