Bahati - Mama paroles de chanson

paroles de chanson Mama - Bahati



Bahati Bahati Tena Flame International
Mwanabuja Wee
Mi Naimbia Mama, Mi Nasifu Mama, Mama
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Nipe tu dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua hii fursa Mama Wacha Nikuimbie
Nipe tu dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua hii fursa Na Dunia Isikie
Miezi Tisa Ndani Yako Kanibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako Ukinitoa Uovu
(Mama)
Miezi Tisa Ndani Yako Kanibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako Ukinitoa Uovu
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Uuu Utovu Wa Nidhamu Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipa Motisha
(Mama)
Utovu Wa Nidhamu Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipa Motisha
Mwanangu Unaweza Lolote Ukijikaza utafika popote
Mwana, Unaweza Lolote Maono Mengi Ulifanya Niote
Mwanangu Unaweza Lolote Ukijikaza utafika popote
Mwana Unaweza Lolote Maono Mengi Ulifanya Niote
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Ulijinyima Nipate Wee, Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate Wee, Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate (Mama), Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate (Mama), Hukutaka Nikose
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
End
Iiii Mama, Nakupenda Mama
Asante Mama RIP Love Yah!!



Writer(s): Bahati Bahati


Bahati - Mama
Album Mama
date de sortie
20-02-2014




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.