Diamond Platnumz - Kamwambie paroles de chanson

paroles de chanson Kamwambie - Diamond Platnumz



Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
So ningeamuru nyota na mbalamwezi
Viwe mali yake yeye
Natamani ila tatizo siwezi
Huenda ingefanya anielewe
Ah ona, si alinifunza mapenzi
Nlikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi
Kwa nyimbo nzuri nimuimbie
So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah
Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema siku hizi wala hakuna fungate
Mapenzi hayana thamani
Hivyo mwambie wanaopenda wachache
Wengi wanatamani
Uuh wanaanzaga kwa tafadhali, wakishapewa wanapotea
Nenda mwambie ajihadhari na dua njema namuombea
So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi




Diamond Platnumz - Diamond Platnumz - Bongo Flava Hits Tanzania
Album Diamond Platnumz - Bongo Flava Hits Tanzania
date de sortie
28-09-2015




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.