Harmonize - Hainistui paroles de chanson

paroles de chanson Hainistui - Harmonize



Yao yao, hahaha Jeshi
(Young legendary)
Yii Kondeboy
Eeh! Hainistui!
Hainistui!
Hainistui!
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Konde wenzako watakuroga (hainishtui)
Au na wewe ushaogaa (hainishtui)
Maana hunaga uoga (hainishtui)
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Eeeh leo nimepata kesho nimekosa
Kazi ya Mola haina makosa
Huyu kampa boda mwingine verosa
Vuta subira ngoja Mungu ajakutosa
Majungu na fitina naaa naa
Zigeuze changamotoo
Maneno muachie Amina naaa naa
Dawa ya moto ni motoo
(Oooh nananaaaah)
Wapo walosema Konde atapotea
Konde atapotea
Ndege katia gia chombo iyo inapepea
Chombo inapepea
Nininakula kwa jasho ooh-ooh
Nipatacho naridhika
Ninasubiri kesho ooh-ooh
Zamu yangu itafika
Nenda waambie, kwamba
Eeh! Hainistui!
Hainistui!
Hainistui!
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Ah wenzako wanakuchukia (hainistui!)
Tena wamepanga kukubania (hainistui!)
Isitoshe wao ni matajiri (hainistui!)
Usijali we tumia tu akili (hainistui!)
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Yii! Sinaga sifa za kujisifu najua
Kila kukicha kwa Mungu naomba dua
Hustle nazidisha ili nizidi tusua
Wakinifunika kesho nitawafunua
Tena waambie eeh eeeh
Mchanga hauzikwi
Unaubadilisha makazi
Huwezi ziba riziki
Bure utajipa kazii
Mi niinakula kwa jasho ooh-ooh
Nipatacho naridhika
Ninasubiri kesho ooh-ooh
Zamu yangu itafika
Nenda waambie, kwamba
Eeh! Hainistui!
Hainistui!
Hainistui!
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Mwana anakula tungi mbayaa (hainishtui)
Yule dada anadanga, malaya (hainishtui)
Ataishi pabaya (hainishtui)
Hapa nilipo kesho yangu sijui
Ina-ina-inaa...
(The mix killer)
Inauma ila itabidi wazoee
Inauma ila itabidi wazoee
Wakimuona dodo na chopa
Inauma ila itabidi wazoee
Eeeh siku izi KondeGang wanatuogopa
Inauma ila itabidi wazoee
Oooh my God its Better Sound
Hunter, hahahaha...
Kwako mwalimu kashasha...



Writer(s): Rajab Abdul


Harmonize - Hainistui - Single
Album Hainistui - Single
date de sortie
03-01-2020




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.