Harmonize - Niambie paroles de chanson

paroles de chanson Niambie - Harmonize



Rajiiiii...
Wasafi
Mmh mmh (Wasafi records)
Mmh
Mujini kipenzi
Silaha ni shilingi baby
Kupendana zamani
Ndo wanavyosemaga
Wazuri ni wengi
Ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani
Basi wanakumwaga
Ndo maana ukichelewa dukani
Mie ka moyo kananidundaga
Nawaza asije mangi jirani
Akakuhonga kilo ya unga aaah
Oooh ooh
Mbaya zaidi sina kazi
Nakosa sent tano kipande
Bora nikuweke wazi
Yanini nikufuche gambe
Tumeumbiwa shida maradhi
Ndo chanzo mpaka wengi wadange
Niweke wazi ni kipi kimefanya unipende
Nambieeee
Tell me baby lol
Oooh basi nambie
Vipi unajipenda ingali sina
Nambieeee
Ooh basi nambie (ooh basi nambie)
Tell me baby lol
Usijenitenda ukaniumiza roho ooh
Siku hizi magari ya wakongo
Mapesa mara nyumba mbezi
Usinichanganye na ubongo
Nidate kisa mapenzi
Nsijekuwekea ndumba
Umenipendea rumba
Vipi nikija kudunda ooh ooh
Usije mgezea punda
Ukaniachia ngunga
Wanakumendea chunga
Ooh ooh ooh
Mbaya zaidi sina kazi
Nakosa senti tano kipande
Bora nikuweke wazi
Yanini nikufiche gambe
Tumeumbiwa shida maradhi
Ndo chanzo mpaka wengi wadange
Niweke wazi ni kipi kinafanya unipende
Tell me baby lol (tell mee)
Ooh basi nambie
Vipi unanipenda ingali sina dooh
Ooh nambie (tell meee)
Ooh basi nambie (tell meee)
Tell me baby ooh
Usijenitenda ukaniumiza roho ooh ooh
(Umenipendea aah) kipi mama
(Umenipendea aah) basi sema
(Umenipendea aah) umenipendea nini
Ingali sina dooh
(Umenipendea aah)
Tell me baby lol (Umenipendea aah)
Ooh basi niambie (Umenipendea aah)
Vipi unanipenda ingali sina hiii hii hiii
Heheheee mwendokasi!



Writer(s): Rajabu Abdukahal Ibrahim


Harmonize - Niambie
Album Niambie
date de sortie
16-03-2017




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.