Ibraah - Subira (feat. Skiibii) paroles de chanson

paroles de chanson Subira (feat. Skiibii) - Ibraah



Oh nah nah
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota
Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda
Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma
Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma
Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima
Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye
Anavyoiweka kando inaniuma
Inaniuma
Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia
(Skibiii)
Baby no be mortal
But you drug me crazy girl
Now I can't get you off my head
(I can't get you off my head)
Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda
Mmmh da
Eih money
Skiibii now Skiibii now money
Ma enjoy my money
I go stay by your side girl yo
I wish you treat me right
I wish you do me right
I wish you do the right
My heart is beating I love you darling
Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia



Writer(s): Ibrahimu A N


Ibraah - Steps
Album Steps
date de sortie
08-05-2020




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.