Nandy - Powerful paroles de chanson

paroles de chanson Powerful - Nandy



Nilipotoka nilipona
Na vijimateso nilionja
Mola ananiongoza
Najiepusha na ulofa
Niko huku Ako kule
Huyu ndio Mungu Bwana hawezi vuruga game
Na we ndo kinara huku Ako kule
Ameninyoosha sana nijajitambua
I'm powerful, sababu yako
Cause you're powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako
I'm powerful, sababu yako
Cause you're powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Wahenga wahenga walisema aliyejuu mngojee chini
Mimi msichana wa kisasa siwezi suburia chini
Niko gadogado, napambana bado
Imani yangu kwako ndo nguzo yangu
Niko gadogado, napambana bado
Imani yangu kwako
I'm powerful, sababu yako
Cause you're powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako
I'm powerful, sababu yako
Cause you're powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako
Walisema sina na sitoweza weza kupata
Na ndo maana leo (wamefyata)
Walisema sina nyota yangu ya punda
Na ndio maana leo
I'm powerful, sababu yako
Cause you're powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako
I'm powerful
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Sababu yako
Zaidi yao
Shauri zao
Kutoka kwako
Sababu yako
Zaidi yao
Shauri zao
Kutoka kwako
(Coz I'm powerful)



Writer(s): Nandy


Nandy - The African Princess
Album The African Princess
date de sortie
09-11-2018




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.