Ben Pol - Sophia текст песни

Текст песни Sophia - Ben Pol



Mswaki
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophia Sophia nikupeleke Mpunguzi, ah
Sophia Sophia nikupeleke na Mvumi, ah
Sophia Sophia nikupeleke na Mazengo, ah
Sophia Sophia nikupeleke Mkuhungu
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophi wangu mi nilizaliwa Tanzania kanda yakati, ah
Makao makuu twende pamoja tukauone uzuri wa nchi
Ndugu zangu wa Makole wakarimu wapole
Wanataka wakuone kabla kurudi Dar
Wakupatie karanga zabibu na uhemba
Lazima uwakumbuke ukifika Dar
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai



Авторы: Ben Pol


Ben Pol - Sophia
Альбом Sophia
дата релиза
06-01-2015

1 Sophia




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.