Ben Pol - Twaendana текст песни

Текст песни Twaendana - Ben Pol



Aah aah ah
Uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha tuishi wote daima
Uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
Eeh nanee eeeh eeh
Aah siku nyingi nimetafuta, nikaimba nikikupata
Niliamini siku moja, nitakutana nawe
Nami namshukuru Mola kwa kunipa binti mmoja
Mwaminifu mwenye sifa, si mwingine niwe
Nami namshukuru Mola kwa kuniletea mke mzuri mwenye sifa
Nimezunguka kote hakuna kama we
Uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha tuishi wote daima
Uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
Eeh nanee eeeh eeh
Walimwengu kazi yao kuvuruga ya wenzao
Watataka kututenganisha usiwajali
We ndo wa maisha
Leo namshukuru Mola kwa kunipa binti mmoja (mmoja)
Mwaminifu tena mwenye sifa simwingine niwe
Leo namshukuru Mola kwa kuniletea mke mzuri
Mwenye sifa nimezunguka kote hakuna kama wewe
Uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha tuishi wote daima
Uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
Uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
Eeh nanee eeeh eeh (nane eh)
Ee eh nanee eeeh eeh
(A ah aah, a ah aah), aah ah ah
(Oh oh ooh) uuh yeh yeh yeh yeh
Mmh uuh baby, baby
Nakushaka nane eeh




Ben Pol - Ben Pol
Альбом Ben Pol
дата релиза
05-02-2014




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.