Lady Jaydee - Nasimama текст песни

Текст песни Nasimama - Lady Jaydee



Aliyepanga ni maanani,
Shida na riziki zangu,
Aliyezitupa gizani,
Shida na taabu zangu
1.
Nasimama na mola kwa kila jambo nilitendalo,
Maneno ya watu bakora yalinichapa nikaumia,
Lakini machozi machozi niliyolia zamani yashafutika,
Japo simanzi majonzi yamejaa moyoni nikikumbuka...
Nishaambiwa zamani
Kinyago uchongacho hakikutishi ng'o
Ndo maana nasimama na aliyepanga



Авторы: Judith Wambura Mbibo


Lady Jaydee - Nasimama
Альбом Nasimama
дата релиза
17-02-2015




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.