Songtexte




Heh
Eh, mama
Mama Amina (Fahmo)
Eh, eh
Mama Amina, woyo
Eh
Ah
Nilimuona wifey, wifey
Kume sio mati, mati, hiyo wifey
Ubaki kuwa exie, exie
Hupigie zile mishi zako za wachati
Na ukija ghetto, ghetto
Ah, ra be central, central
Hai sura mapenpo, penpo
Unapenda kopo, kopo
Nipishe dada, vipi kwani
Vipi kwani, vipi kwani
Oya, na ninyima money
Ninyima money, ninyima money
Tena ukija ghetto, ghetto
Ah, ra be central
Hauna mapenpo, penpo
Kwani vipi, Amina
Mama Amina, woyo
Kanitukana
Mama Amina, woyo
Kanitukana
Mama Amina, woyo
Spendi la wama
Mama Amina, woyo
Na-na-na-na
Eh
Nakuona kama teja
Ngicho unalegeza
Ah, undio unanitega
Panga umelikoleza
Naambiwa uko unavimba
Tena unaji, naji
Huku unaringa, hehehe
Nipishe dada, vipi kwani
Vipi kwani, vipi kwani
Oya, na ninyima money
Ninyima money, ninyima money
Basi kamba ninawiwe
Utalipa keshi la wama
Mama Amina, woyo
Kanitukana
Mama Amina, woyo
Kanitukana
Mama Amina, woyo
Spendi la wama
Mama Amina, woyo
Na-na-na-na-na
Chee
Sokea, sokea
Kama umee nogewa
Suguwa, suguwa
Mgongoni, suguwa
Ah, sokea, sokea
Kama umee nogewa
Ah, suguwa, suguwa
Mgongoni, suguwa
Ah, yummy, yummy
Fahmo
Aii
Ache, ache, ache



Autor(en): Twaha Hatibu Faharani Copyright: Too Lost Publishing



Attention! Feel free to leave feedback.
Wird geladen
Wird geladen