Songtexte I Love You - Rayvanny
Ilikuwa
safari
ndefu
yenye
mateso
Machozi,
mizigo,
vikwazo
Ila
yote
umenitua
Naomba
penzi
letu
lisife
kesho
Ukanipa
presha,
mawazo
Chonde
mama
utaniua
Na
vile
hujui
kununa,
fundi
wa
kudeka
Hata
sijakutekenya
unacheka
Ooh,
tambua
ushaniteka
Hata
bila
chakula
nanenepa,
my
love
Salama
nikiwa
na
wewe
Hata
kama
nina
shida
nasahau
Sura
kama
malaika
Na
wala
hauringi
kwa
dharau
Lawama
acha
nipewe
Nitoke
duniani
angalau
Kuliko
ukanyanyasika
Hilo
mpenzi
usahau
Me
oh,
oh,
oh
(ah
eh)
Mi
amor
(ah
eh)
My
love
(ah
eh)
Te
amo
(ah
eh)
I
love
you
I
love
you
Baby,
I
love
you
I
love
you
I
love
you
(minakupenda
sana)
I
love
you
(usiniache
mama)
Baby,
I
love
you
(me
oh)
I
love
you
Sura
ya
mama,
umbo
lawama
Una
ya
bia
miguu
Unanichanganya
ukiinama
naangalia
tattoo
Nipakulie
chakula
mama
sikomi
Asubuhi,
mchana
mpaka
jioni
Michezo
unaijua
mama
msomi
Pini
kitovu,
kifua
na
sikioni
Salama
nikiwa
na
wewe
Hata
kama
nina
shida
nasahau
Sura
kama
malaika
Na
wala
hauringi
kwa
dharau
Lawama
acha
nipewe
Nitoke
duniani
angalau
Kuliko
ukanyanyasika
Hilo
mpenzi
usahau
Me
oh,
oh,
oh
(ah
eh)
Mi
amor
(ah
eh)
My
love
(ah
eh)
Te
amo
(ah
eh)
I
love
you
I
love
you
Baby,
I
love
you
I
love
you
I
love
you
I
love
you
Baby,
I
love
you
I
love
you
1 Kwetu
2 Mwaga (feat. Fik Fameica)
3 Natafuta Kiki
4 Makulusa (feat. Maphorisa & DJ Buckz)
5 Chombo
6 Chuchumaa
7 Chuma Ulete
8 Ex Boyfriend
9 I Love You
10 Magufuli-Corona
11 Mbeleko
12 Naogopa
13 One
14 Sikupendi
15 Sweet Melody
16 Unaibiwa
17 Vumilia
18 Wasiwasi
19 Zezeta
20 Africa (No Xenophobia)
21 Zipo (feat. Busiswa & Baba Levo)
22 Mwanza (feat. Diamond Platnumz)
23 Tetema (feat. Diamond Platnumz)
24 Vumbi (feat. Diamond Platnumz)
25 Miss Buza (feat. Dulla Makabila)
26 Gimi Dat (feat. Mayorkun)
27 Te Amo (feat. Messias)
28 Mama La Mama (feat. Mr. Blue)
29 Siri (feat. Nikk Wa Pili)
30 Tetema (Remix) [feat. Patoranking, Zlatan & Diamond Platnumz]
31 Slow (feat. Phyno)
32 Girlfriend (feat. Rowlene)
33 Pochi Nene (feat. S2Kizzy)
34 Shikwambi
35 Penzi
Attention! Feel free to leave feedback.