Songtexte Kerewa - Shetta
Kwanza
umejazika
kama
mlima
kitonga,
Mpaka
mabitozi
wanajigonga,
Figure
matata
na
kweli
umekwenda
skonga,
Je
napokumiss
naku-call
tunabonga,
Hello
we
ndio
mamito
Amini
mi
ndio
papito
Ah
we,
we
ndio
mamito,
Achana
nao
ya
dunia
yote
mapito
Okay
yes,
we
ni
bonge
la
demu,
Hata
machizi
wamesema
bonge
la
demu
Tupendane
tupeaneyaanikila
sehemu,
We
ndio
mama
kaila
Of
course
mi
ndio
baba
kaila
Amini
wewe
ndio
mama
Kaila
Achana
nao
wanaokufata
wote
ni
taila
We
ni
wangu
tu,
tena
waambie
watuache
tulalale
We
ni
wangu
tu,
husije
niacha
nikachekwa
na
wale
Ona
naimba
Kerewa,
kerewa,(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Ah
kerewa
aya
ya
ya
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Ah
kerewa,
aya
ya
ya
Yoh
umenipa
nafasi
sitaki
nikosee
Sitaki
mwendo
kasi
sitaki
nipotee
Changanya
kila
kitu
mpaka
nikolee
Mi
ni
wako
kila
siku
nipokee
Jua
kweli
nakupenda
mama,
Siwezi
kukuigiza
drama
Vicheche
nawakatalia
sana,
Na
nafurahi
pia
unabania
wana
Mpaka
wanasema
hunifai
kabisa,
Wanatamani
nikuache
kwa
visa
Wengine
wanataka
nikuuze
ka
hisa
Ila
mcizinimegoma
sikuachi
kabisa
Oh
yeah
We
ndio
mama
kaila
Of
course
mi
ndio
baba
kaila
Amini
wewe
ndio
mama
Kaila
Achana
nao
wanaokufata
wote
ni
taila
We
ni
wangu
tu,
tena
waambie
watuache
tulalale
We
ni
wangu
tu,
usije
niacha
nikachekwa
na
wale
Ona
naimba
Kerewa,
kerewa,(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Ah
kerewa
aya
ya
ya
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Kerewa,
kerewa
(ayaya)
Ah
kerewa,
aya
ya
ya
Sa
usiniumize
basi
(ayaya)
Ukanipa
wasi
wasi,(ayaya)
Ah
ka
ugonjwa
ka
nafsi
(ayaya)
Moyo
ukanienda
kasi
(ayaya)
Usiniumize
basi
(ayaya)
Ukanipa
wasi
wasi,(ayaya)
Ah
kaugonjwa
ka
nafsi
(ayaya)
Moyo
ukanienda
kasi
(ayaya)
Ah
si
unajua
wenye
chuki
na
hiyana
Wametukania
sana
Tena
usiku
na
mchana,
Wakiomba
kuachana
Si
usiniumize
basi
(ayaya)
Ukanipa
wasi
wasi
(ayaya)
Ah
ka
ugonjwa
ka
nafsi
(ayaya)
Moyo
ukanienda
kasi
(ayaya)
Ayaya
Ya
baba
Kaila
Ayaya
Ayaya
Ayaya
End...

Attention! Feel free to leave feedback.