Lyrics Mtafutaji - Ay
Najua
nilipotoka
naheshim
sana
Ndomana
nkipata
pesa
natulizana
Ila
ninapokosa
nakimbizana
Npate
nivimbe
ninapotoka
na
baby
mama
Maana
umaskini
unachosha
na
tumbo
aridhiki
Ndomana
namuomba
mungu
anipe
zaidi
ya
hiki
Nipoze
machungu
mwisho
wa
wiki
Kidogo
niwape
ndugu
wasije
kusnitch
Unatokaje
hauna
pesa
emu
nenda
kalale
Nenda
disco
kitajiri
apo
nd
utaitwa
mkale
Itikadi
za
bob
marley
ndani
mbuzi
nje
tui
Mi
nakujua
ila
biashara
yangu
haikujui
Haikutambui
wapi
umeona
ushkaji
na
kazi
Kama
dili
leta
tusign
milango
ipo
wazi
Na
kama
huna
mchongo
ndo
basi
sina
chance
Usinipigie
simu
kuhusu
bata
staki
Marafiki
unacheka
nao
kumbe
moyoni
mwao
wananuna
Mwisho
wa
siku
ukipiga
bao
Roho
zao
zinabaki
zinauma
Attention! Feel free to leave feedback.