Ben Pol - Sophia Lyrics

Lyrics Sophia - Ben Pol



Mswaki
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophia Sophia nikupeleke Mpunguzi, ah
Sophia Sophia nikupeleke na Mvumi, ah
Sophia Sophia nikupeleke na Mazengo, ah
Sophia Sophia nikupeleke Mkuhungu
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophi wangu mi nilizaliwa Tanzania kanda yakati, ah
Makao makuu twende pamoja tukauone uzuri wa nchi
Ndugu zangu wa Makole wakarimu wapole
Wanataka wakuone kabla kurudi Dar
Wakupatie karanga zabibu na uhemba
Lazima uwakumbuke ukifika Dar
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Nakuzimia vibaya vibaya, vibaya vibaya mi
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai
Sophia Sophia ah a a a ai



Writer(s): Ben Pol


Ben Pol - Sophia
Album Sophia
date of release
06-01-2015

1 Sophia




Attention! Feel free to leave feedback.