Lyrics




Usipolala macho hauna chako umeuwawa
Ukikimbia battle we sio commando ni coward
Huku kina cha bahari umezoea kuoga kwenye bwawa
Huku umekuja sayari haina kunguni haina chawa
Utapagawa manyanga madawa, ni Mungu anagawa ndio anayenipa power
Tuko kwenye rush hour, kutoka bila shower kula bila kunawa
Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi
No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude
Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good
No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude
Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
APPLICATION
Radio imemeza kanda
Hawana nyimbo washasanda
Kitumbua kimeingia mchanga
Mbona wata watabamba
Proper proper ganda
Mara kimeshuka kimepanda
Kuleta pigo za kishamba
Moto moto pamba PUUH
Ukijifanya rude mimi mwenyewe nimepinda jambazi Masudi
No Cash No Food Baba utakula hiyo Attitude
Ukiniletea Mood mimi ndio napendaga sana very good, very good
No Cash No Food hapa utakula hiyo Attitude
Oyaa We si unataka INFORMATION W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download
Oyaa Oyaa Oya We si unataka INFORMATIONS W.W.W download APPLICATION
Si unapenda penda kujua inavyokwenda Situations ok W.W.W download





Attention! Feel free to leave feedback.
Loading
Loading