Darassa feat. Jux - Juju Lyrics

Lyrics Juju - Jux , Darassa



Haha sio mapenzi ni juju
Sio mapenzi ni juju
Haya sio mapenzi ni juju(Juju)
Angekuwa wimbo DJ angeurudia
Kila mmoja angecheza
Utamani kuimba na kuitikia
Kama kinywaji unaongeza
Rangi yake mavazi na shepu
Katikati ya mfupi na mrefu
Mi nadhania Mungu aliangalia akaumba mwanamke apendezeshe dunia
Ukisikia,Sauti ya kukaa kichwani
Unavutia, malaika wa kupaa angani Amazing,
Mwanamke wa kumweka ndani Mwanamke wa kuspend money Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia Ale ale ale ale Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale Mr Dj angeurudia Ale ale ale ale Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia Ale ale ale ale Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale Mr Dj angeurudia Ale ale ale ale
Pita pita kwenye mitaa yao
Pita pita kwenye mitandao Pozi picha na mambo kibao
Maisha yao tunasema nao
Mwanamke anafanya unachange Hakuna binga wa kwenye mapenzi
Kuna wakati najibia Asione kama namwangalia
Ni kama kajumba anavutia
Anapita kwenye njia(She a danger girl)
Mada nimezamia Mi mwenyewe baharia Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia Ale ale ale ale Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale Mr Dj angeurudia Ale ale ale ale Ale ale ale ale
Angekuwa wimbo Dj angeurudia Ale ale ale ale Na kila mmoja angecheza
Ale ale ale ale Mr Dj angeurudia Ale
Ale ale ale Oya eeh yeah eh yeah eh...
Eeh hanimudu nakunywa sumu Umenirudisha shule vidudu
Umenifunga mdomo ni bubu Nasema sio mapenzi ni juju, juju Bang!
Haya sio mapenzi ni juju Sio mapenzi ni juju
Haya sio mapenzi ni Juju (Juju)



Writer(s): Darassa Darassa


Darassa feat. Jux - Juju
Album Juju
date of release
18-09-2019

1 Juju




Attention! Feel free to leave feedback.