Lyrics Nishike Mkono - Darassa
Nobody
see
me
crying
All
I
know
is
nobody
by
my
side
Mungu
nishike
mkono
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono
mkonoo)
Mwili
kama
una
vidonda
ukinigusa
tu
naumia
Kichwani
mizigo
ya
dhambi
gunia
kwa
magunia
Dunia
sinia
pakua
unachoweza
Nirudishe
kwenye
njia
walimwengu
walishanipoteza
Mpaka
leo
bado
mwanangu
yupo
magereza
Mtoto
wa
jirani
anasomeshwa
uingereza
Babaake
na
Athumani
alikufa
mvuvi
wa
pweza
Mwenye
utajiri
wa
imani
masikini
wa
kifedha
Washanichimbia
kaburi
wanizike
nahema
Washakata
miti
ya
vivuli
mifereji
ya
neema
Unaweza
kuta
unaemuamini
ndio
anaekuwekea
sumu
Hawana
alama
binadamu
anaekuja
kukuhukumu
Mwili
umechoka
naforce
tu
kuendelea
Mpaka
naogopa
wapi
naenda
kutokea
Hata
nikiokoka
nani
ataniletea
Nisipotoka
maisha
yananitokea
damn
Nobody
see
me
crying
all
I
know
nobody's
by
my
side
Mungu
nishike
mkono
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono
mkonoo)
Kumekucha
nipo
njia
panda
sioni
hata
pa
kuelekea
Na
kiza
ndio
kinatanda
niendako
nani
wa
kunipokea
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono
mkonooo)
Unajikuta
uko
peke
yako
giza
kubwa
kwenye
mtaa
Huoni
ndugu
wala
jamaa
uliokuwa
nao
jana
bar
Mawazo
ya
karaha
nafsi
inakosa
raha
Upepo
mkali
na
baridi
bila
koti
la
kuvaa
Unajiuliza
Mungu
where
you
are
uoneshe
njia
Kelele
za
uchungu
na
hakuna
anaekusikia
Usitamani
kiatu
changu
we
ukivaa
hautembei
Ikiwa
ni
siku
mbaya
ndio
masaa
hayasogei
damn
Nobody
see
me
crying
all
I
know
is
nobody
by
my
side
Mungu
nishike
mkono
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkonoooo)
Ayoo
imagine
maisha
ya
mtoto
bila
mzazi
wa
kumlea
Nambie
ndoto
za
wangapi
mitaani
zimepotea
Imagine
mzazi
wa
lulu
maumivu
aliyojibebea
Sometimes
tunaishi
nje
ya
malengo
tuliyojiwekea
Kifuani
kama
kuna
moto
Moyo
wangu
unaungua
Maumivu
nnayopata
usitamani
kuyajua
Nashindwa
kupiga
hatua
uwoga
nasuasua
Maji
yakiwa
shingoni
ndio
nakumbukaga
dua
Nashindwa
kuchagua
kati
ya
mvua
na
jua
Kuna
kitu
kinamiss
nawaza
kukigundua
Natamani
kuwa
mtoto
kibaya
haiwezi
kuwa
Vazi
la
dhambi
nililovaa
halitakati
hata
nikifua
Mwili
umechoka
naforce
tu
kuendelea
Mpaka
naogopa
wapi
naenda
kutokea
Hata
nikiokoka
nani
atakaeniletea
Nisipotoka
maisha
yananitokea
Nobody
see
me
crying
all
I
know
is
nobody
by
my
side
Mungu
nishike
mkono×2
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Nishike
mkono
(nishike
mkono)
Attention! Feel free to leave feedback.