Lyrics Mapenzi Basi - Diamond Platnumz
A-M
Records
This
is
crazy,
I
just
want
to
tell
you
How
badly
my
heart
is
broken
This
is
absolutely
painful
for
me
to
say
this,
damn
Mie
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Yalinifanya
nikaugua
Mara
napanga
napangua
Mwili
ukakonda
nikapungua
Oh
sikulala,
sikulala
Oh
maradhi
nikaugua
oh
Yakanichoma
na
kuungua
roho
Kutwa
nawaza
na
kuwazua
Sikulala
Yani
hayo
mapenzi
bwana
hayana
maana
Yalinifanya
mi
nichekwe
Sababu
yake
nishagombana
nikatukanwa
Lakini
akanipiga
teke,
ai
Haya
mapenzi
bwana
hayana
maana
Yalinifanya
mi
nichekwe
Sababu
yake
nikagombana
Usiku
mchana,
yeye
Mi
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Oh
nilishagombana
na
mama
mzazi
Akataka
nimwagia
radhi
Sababu
yule
fulani
Yule
wamoyo
wangu
Yakaleta
zengwe
kwa
kazi
Ugomvi
wa
simba
na
panzi
Vurugu
kwa
majirani
Ai
eh
Mola
wangu
Yani
hayo
mapenzi
bwana
hayana
maana
Yalinifanya
mi
nichekwe
Sababu
yake
nishagombana
nikatukanwa
Lakini
akanipiga
teke,
ai
Hayo
mapenzi
bwana
hayana
maana
Yalinifanya
mi
nichekwe
Sababu
yake
nikagombana
usiku
mchana
Yeye
Mi
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
Oh
mapenzi
sitaki
Oh
mwenzenu
tena
basi
basi
sitaki
Attention! Feel free to leave feedback.