Israel Mbonyi - Nina Siri Lyrics

Lyrics Nina Siri - Israel Mbonyi



Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen
Yaniburudisha, nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen
Nina siiri
Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Wataimba Hosana, Amen
Nina siiri
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Mwokozi wangu)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen
(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, Amen
(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, Amen
(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
(Yanifanya)Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen
Hallelujah!
(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
Hosana, Amen
Hallelujah!




Israel Mbonyi - Umusirikare
Album Umusirikare
date of release
20-05-2023




Attention! Feel free to leave feedback.