Marioo - Ya Uchungu Lyrics

Lyrics Ya Uchungu - Marioo



Wakisema tutaachana ongeza nipenda zaidi ya jana
Wakitamani tuuzunike tufanye sherehe
Baby nipe tena kama jana
Wanatamani yanibubujike
Ukintenda kiutani utani utaniua eeeh
Mi juu yako nshatamba sana ntaambia nini watu
Weh ndo faraja maishani usiniue eeeh
Milele kufa kuzikana nishachora tattoo
Hata ukiniacha usifanye ukatoka na kina nanii eeeh
Ntaificha wapi sura utanitia doa
Hata ukiniacha vya ndani vibaki siri weh na me eeeh
Ntaiweka wapi sura ntaiona dunia
Ya uchungu
Ya uchungu
Ya uchungu
Ya uchungu
Achana na mapaka shume wataponza uchomoe
Wasije wakakufunza unikomoe
Wala hawatokuwa na maana lengo penzi walibomoe eeh
Lazizi weeh
Basi fanya usinibiboe
Maana moyo wangu utaumia utaumiaaa aah
Afu nafsi yangu itajutia itajutiaa
Hata ukiniacha usifanye ukatoka na kina nanii eeeh
Ntaificha wapi sura utanitia doa
Hata ukiniacha vya ndani vibaki siri weh na me eeeh
Ntaiweka wapi sura ntaiona dunia
Ya uchungu
Ukiondoka ukiniacha mwenzako ntaumiaa
Ya uchungu
Litanilemea litaniuma sana
Ya uchungu
Maradhi ya mapenzi nnayo yanaumiza
Ya uchungu
Mwenzako aaah eeh eehh
Mwenzako napenda napenda vibaya
Ukiniacha nitaumia
Ukiondoka ntaumia
Itaniumaa
Itaniuma
Ukiondoka ntaumia
Itaniumaa
Itaniuma



Writer(s): Omary Ally Marioo


Marioo - Ya Uchungu - Single
Album Ya Uchungu - Single
date of release
24-09-2019




Attention! Feel free to leave feedback.