Mbosso - Sina Nyota Lyrics

Lyrics Sina Nyota - Mbosso



Mwenyewe anaona sawa
Ila mwambie mimi ananiumiza sana
Ni zaidi ya kupagawa
Siponi ugonjwa na nishamaliza dawa
Aaaaah, aaahh
Na ajue bado nipo
Ila hali yangu hohehahe sina mabadiliko
Machozi mafuriko
Fundi wa jiko langu kaacha mawe
Mpaka akalamba mwiko
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Mwili wote peteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mavodabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Mwili wote peteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mavodabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Bado ndo ndo ndo chururu
Nikijaza hakijai kibaba
Na misongo songo msururu
Sita haikai saba
Mimi kitorondo we kunguru
Mbao zangu hazimpi msaada
Makombe nishaoga dawa ka susuru
Huenda akasahau labda
Kitandani mito ipo miwili
Ubavu wewe ubavu mimi
Pakata ndiko imewekwa shubiri
Nalikwepa nalala chini
Nimefuta picha
Tulizopiga chumbani
Ila bado zanisuta suta
Zimebaki kichwani
Silali nashtuka shtuka
Unaniita kizani
Chozi la niwesha shuka
Na sina wa kunifuta nani
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Mwili wote peteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mavodabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Mwili wote peteka
Sina afadhali mawazo yanitesa
Mavodabodeka ni ka misumari
Naanza dhoofika
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
Toka alivyoniacha
Sina nyota wala mwezi
Mwenzake nimekamatwa
Na homa ya mapenzi
(Wasafi)



Writer(s): Mbwana Yusuph Kilungi


Mbosso - Sina Nyota
Album Sina Nyota
date of release
28-08-2020




Attention! Feel free to leave feedback.