Ommy Dimpoz - Umeniweza Lyrics

Lyrics Umeniweza - Ommy Dimpoz



Oh la-la-la-la
Oh, la-la-la-la
Oh la-la-la-la
La-la-la-la
Oh la-la-la-la
Oh la-la-la-la
Oh la-la-la-la
Mr Leg
Uzuri wako mashallah, we muzuri una vutia
Una pendeza, una vyo nipa mpaka raha
Ujuvu juice ya miwa, ndimu na kamuliwa
Penzi pupwe la baizi
Lime fitiwe seize
Cheko na tabasamu, yani napewa
Natafuta mashaidi jalali nifaidi
Visiwa vya haramu vikachuliwa
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Tuna endana nyota mi nawe
Huna baya kama mtoto mchanga
Yangu pumzi nikupe wewe
Nongwa kwetu ni sumu
Ubaliko salama, liko salama
Penzi pupwe la baizi
Lime fitiwe seize
Cheko na tabasamu yani napewa
Natafuta mashaidi jalali nifaidi
Jalali ni faidi
Visiwa vya haramu vikachuliwa
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Umeniweza ah ya ah
Ha, ha, Sultan, zero, zero, one
Thanks a lot of
Pozi kwa pozi
Ommy Dimpoz
Watala, watala, umeniweza



Writer(s): 0, Lugendo Zubery Kileo


Ommy Dimpoz - Umeniweza
Album Umeniweza
date of release
18-03-2022




Attention! Feel free to leave feedback.