Lyrics Sura Yako (Remix) - Sauti Sol , Iyanya
Nimekuchagua
wewe
nikupende
Mama
sitaki
mwingine
Aushi
usiniache,
usinitende
Mama,
usipende
mwingine
Moyo
wangu
ni
mwepesi
Umenikalia
chapati
Nafanya
vituko
kama
chiz,
Kukupenda
sitasizi
Moyo
wangu
ni
mwepesi
Umenikalia
chapati
Nafanya
vituko
kama
chizi
Kukupenda
sitasizi
Sura
yako
muzuri
mama,
aaah
Mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Na
tabasamu
lako
maua,
aaah
Muzuri
mama,
muzuri
mama,
muzuri
mama
Sura
yako
mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Na
tabasamu
lako
maua
ahh
Mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Itabidi
nikulinde,
nikutunze
Mama,
usikose
lo
lote
Pete
nayo
nikuvishe,
nikuoe
Mama,
usiende
po
pote
Juu
moyo
wangu
ushakubali
Umenikalia
chapati
Nitakulinda
kama
polisi
eh
Itabidi
nikumarry
Moyo
wangu
ushakubali
Umenikalia
chapati
Nitakulinda
kama
polisi
eh
Itabidi
nikumarry
Sura
yako
muzuri
mama,
aaah
Mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Na
tabasamu
lako
maua,
aaah
Muzuri
mama,
muzuri
mama,
muzuri
mama
Sura
yako
mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Na
tabasamu
lako
maua
ahh
Mzuri
mama,
mzuri
mama,
mzuri
mama
Piga
densi
kidogo
Piga
de,
piga
densi
kidogo
Densi
kidogo
Piga
de,
piga
densi
kidogo)
Attention! Feel free to leave feedback.