Vanessa Mdee - Hawajui Lyrics

Lyrics Hawajui - Vanessa Mdee



Hamjui tu nyie, alichonifunza Mama na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2
Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka Kila siku beki leo kipa nimekudaka
We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa
Hamjui tu nyie, alichonifunza Mama na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2
Choko choko ndiyo mambo mliozoea Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda Mungu ndiyo ananilinda
We mwanadamu gani uliyekosa aibu kunisema kwa ubaya na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa
Hamjui tu nyie, alichonifunza Mama na na ndiyo maana hamuishi kutukana x2
We mwanadamu gani uliyekosa aibu Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu Huishi Zogoa Zogoa Kila Siku Zogoa Zogoa Ukilala Zogoa Zogoa
Written: Barnaba, Vanessa Mdee, Noel Mkono Produced: Nahreel




Vanessa Mdee - Hawajui
Album Hawajui
date of release
13-06-2014




Attention! Feel free to leave feedback.