Ay - Usijaribu - traduction des paroles en anglais

Paroles et traduction Ay - Usijaribu




Usijaribu
Don't You Try It
Let me talk to ya! Nataka kusema sana (No si sana) kuhusu watu wa aina
Let me talk to ya! I want to say a lot (no, not a lot) about certain types
Fulani, mzeiya A.Y sema
of people, old man A.Y say it.
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba x 4
Hands up, show me that you don't care about bush things x 4
Aah juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao x 4
Aah up! Raise your hands, a sign that we've scored a goal x 4
I.
I.
Yatazame vyema macho yangu right now,
Look into my eyes right now,
Nishapitia mambo mengi hata zaidi yao.
I’ve been through a lot, even more than them.
Unapong'ata kwangu na kupulizia kwao,
When you attack me and spray them,
Unapochoka zaidi baada ya kuona mi nacheka nao.
When you get more tired after seeing me laughing with them.
(Oh) Leo nakupa ukweli baada ya kuona unanispy,
(Oh) Today I give you the truth after seeing you spy on me,
Cheza nami mbali sitaki hata unisabahi.
Play away from me, I don’t even want you to greet me.
(Sikujui) Niaje nipoteze muda nikuchunguze,
(I don't know you) How am I wasting time checking you out,
(Hunijui) Vipi utunge uzushi kwangu uyasambaze.
(You don’t know me) How can you make up a lie about me and spread it.
Mind your business hujui style ya Maisha yangu,
Mind your business, you don't know my lifestyle,
Basi sitaki ubishe hadi kwenye anga zangu.
So I don’t want you to eavesdrop even on my skies.
Kila siku unayafuatilia, nayoyahangaikia,
Every day you follow them, I care about them,
Lakini huwezi kuniharibia.
But you can't ruin me.
Usione nimeshhh ukataka kupima,
Don’t think I've given up and you want to measure up,
Nilikuona mwema kumbe zzzz nishakusoma.
I saw you well, I’ve already read you zzzz.
Nikiwepo mtu poa, nikiondoka unanichoma,
When I'm around, it's cool, when I leave, you burn me,
Sasa unapochoma kama unaoga nje mchana ah.
Now you burn like you are showering outside in the afternoon ah.
Niko imara zaidi ya chuma cha pua,
I’m stronger than stainless steel,
Sitabiriki ujio wangu moyo wako unajua.
You can’t predict my coming, your heart knows.
Mlango wa ngome yangu mjomba noma ngumu kuingia,
The gate of my fortress, uncle, is hard to enter,
Ndo maana bado mi nakamua border nyingi napasua.
That’s why I’m still breaking through many borders, I tear.
Bridge.
Bridge.
Shida zangu kwani zinakuhusu nini (wewe)
What do my problems have to do with you (you)
Hata raha zangu zinakuhusu nini (wewe)
What do even my pleasures have to do with you (you)
Pia Maisha yangu yanakuhusu nini (wewe)
What does my life have to do with you (you)
OYAA X 2 (OYAA X 2)
OYAA X 2 (OYAA X 2)
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba x 4
Hands up, show me that you don't care about bush things x 4
Aah juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao x 4
Aah up! Raise your hands, a sign that we've scored a goal x 4
II.
II.
Usione watu wamechill wametulia, Busy
Don't you see people are chilled and relaxed, Busy
Basi ukaona easy kuwachezea, ukidhi.
Then you see it's easy to play with them, to satisfy.
Kupandikiza chuki news kudandia,
To plant hatred, news to jump on,
Please, sitaki lawama kama vipi we potea
Please, I don’t want blame, if anything get lost
Fanya usepe tu kwangu, kwangu hupati kitu fool
Just sweep yourself to me, you won't get anything from me, fool
Niogope kama OGOPA full wa mbuzi kama FID Q
Fear as OGOPA, full of goats like FID Q
(A.Y x2) Bado nafanya mema huh
(A.Y x2) I’m still doing good huh
Nikipata, nikikosa namshukuru Mungu tu,
If I win, if I lose, I thank God only,
Kikulacho mbona kinguoni mwako.
What grows up is in your pocket.
Wanaokuua mbona wa karibu yako,
Those who kill you are close to you,
We unashangaa nani anauza file lako.
You wonder who is selling your file.
Kama Adili kama mi (Bora niwe peke yangu).
Like Adili, like me (It’s better for me to be alone).
Deal zako ka zinabuma basi hasira usilete kwangu.
If your deals are booming then don't bring your anger to me.
Kama zali oh si lako jitume kibingwa wangu.
If it was born oh it’s not yours, my champion.
Sio unakaa tu, kazi tu, kupiga majungu.
You don’t just sit, just work, shooting clubs.
Napo muda unapata bado unapiga virungu.
And when you get time, you still hit sticks.
Mchawi hana alama wapo (humuhumu).
The wizard has no sign, they exist (humuhumu).
Asiyependa uendelee ni (mchawi tu).
Whoever doesn't like you continue is (just a wizard).
Hakosi uja kwako hodi kila saa (Ngo, ngo)
He must have knocked on you every hour (Ngo, ngo)
Ndani chuki nje kila saa anakupa tano. (Ngum, Ngum).
Inside hatred outside every hour he gives you a five. (Ngum, Ngum).
Bridge.
Bridge.
Shida zangu kwani zinakuhusu nini (wewe)
What do my problems have to do with you (you)
Hata raha zangu zinakuhusu nini (wewe)
What do even my pleasures have to do with you (you)
Pia Maisha yangu yanakuhusu nini (wewe)
What does my life have to do with you (you)
OYAA X 2 (OYAA X 2)
OYAA X 2 (OYAA X 2)
Mikono juu, onyesha kama hufagilii mambo ya kishamba x 4
Hands up, show me that you don't care about bush things x 4
Aah juu! Nyosha mikono ishara tumewapiga bao x 4
Aah up! Raise your hands, a sign that we've scored a goal x 4
(Aaah) Usijaribu kuchunguza sura hii
(Aaah) Don’t try to examine this face
(Aaah) Kama ina raha ama zzzz
(Aaah) If it has pleasure or zzzz
(Aaah) Usilete tabia za kizamani.
(Aaah) Don't bring old-fashioned habits.
Maisha yangu yanakuhusu nini
What does my life have to do with you
Au vipi bwana, Ni hayo.
Or how, man, That’s it.
Huu ni muda na kila mtu kujiheshimu rafiki yangu.
This is a time for everyone to respect each other, my friend.
Haijalishi wewe ni nani na unatoka wapi.
It doesn’t matter who you are and where you come from.
Niachie mimi nifanye kama mimi.
Let me do as I do.
Sababu siwezi kufanya kama wewe na wewe huwezi kufanya kama mimi.
Because I can't do like you and you can't do like me.
Sikiliza Ambwene, hili ni bonge la dude, bonge la beat kutoka kwa OGOPA.
Listen to Ambwene, this is a big dude, a big beat from OGOPA.
Matrack kama haya yanatakiwa kusikilizwa mtaani. Chuki kibao zipo, kwa nini?
Tracks like this should be listened to on the street. Hate goals exist, why?
USICHUKULIE POA X 2
DON'T TAKE IT WELL X 2






Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.