Chege - Burudani paroles de chanson

paroles de chanson Burudani - Chege




(Take 5 now)
(Touch)
Vita vya mziki ni vikubwa ila ni vyepesi
Endapo tutaujenga umoja tutashinda kesi
Snura kutompenda Ndela sio sawa, sio sawa
Na Ndela kutompenda Snura sio sawa, sio sawa
Teteeni brand zenu zisishuke
Ukiwa juu walo chini wakumbuke
Nyimbo zenu zisimame kwenye top 10
Yote sawa
Natamani Diamond asishuke
Atetee walo chini wasichoke
Natamani Alikiba azidi ng'aa
Nyota yake isimame kishujaa
Team Kiba wampost Mondi
Team Mondi wamposti Kiba
Konde Gang wampost Mondi
Kiba wampost jeshi (Sawa)
Tuchanganye majina (Sawa)
Wote tukapate kadinner (Sawa)
Tushare safina (Sawa)
Mradi tunapata burudani (Sawa)
Tuchanganye majina (Sawa)
Wote tukapate kadinner (Sawa)
Tushare safina (Sawa)
Mradi tunapata burudani
Napiga magoti naomba
Kesho asipotee Temba
Yametimia mengi tulopanga
Na bado tunapambana
Itakuwa sio sawa nikimuona Dogo Janja ametoka MMG
Sio sawa sio poa kwa Madee
Mziki wanabebaga presenters
Utofauti haina haja ya kuleta
Haina haja ya kuchaniana mikeka
Mtafanya wasanii tutateseka
Natamani vunja bei wasishuke
Ila mwisho wa siku Whozu asidondoke
Natamani Aslay azidi ng'aa
Nyota yake isimame kishujaa
Shishi gang wampost Snura
Team Snura wampost Shishi
Manfongo wampost Sholo
Team Sholo wampost Fongo (Sawa)
Tuchanganye majina (Sawa)
Wote tukapate kadinner (Sawa)
Tushare safina (Sawa)
Mradi tunapata burudani (Sawa)
Tuchanganye majina (Sawa)
Wote tukapate kadinner (Sawa)
Tushare safina (Sawa)
Mradi tunapata burudani
Oooh (mchaka mchaka)
Tuungane pamoja (mchaka mchaka)
Mbwana Samatta (mchaka mchaka)
Mwakinyo (mchaka mchaka)
Ooh ma Djs (mchaka mchaka)
Producers (mchaka mchaka)
Ooh Bongo tuwe na amani tu
Hakuna hakuna matata, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata
Hakuna hakuna matata, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata
Hakuna hakuna matata, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata
Hakuna hakuna matata, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata



Writer(s): Saidi Juma Hassani


Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.