paroles de chanson Raha (feat. Zuchu) - Zuchu , Diamond Platnumz
(Ay,
Ayo
Trone)
Embe
parachichi
ndo
utamu
wa
penzi
lako
Mm-mm
na
kwangu
hauachiki
Mm-mm
na
wataniua
sitoki
kwako
Mm-mm
nishakuvesha
taji
Bingwa
wa
kazi
yako
unaipatia
Mm-mm
na
ninapokosea
we
ndo
judge
Nifunge
hata
maisha
nitakutumikia
Mm,
mambo
pikiji
pikiji
twajisosomola
Penzi
si
la
kienyeji
viwango
vya
dola
Mnaotuma
vimeseji
mnataka
kunipora
Ananionesha
baby
mjue
nawachora
Ooh-ooh
eti
nikikuona
Ooh-ooh
naona
raha
mbona
Ooh-ooh
eti
nikikuona
Ooh-ooh
naona
raha
mbona
Niliishe
chukuchuku
ya
tunguri
paja
Hesabu
za
mwili
unirudishe
na
shule
ada
Utaanza
na
nini,
kula
ndo
ule
labda
We
sema
mimi
nisasambule
jaja
Mm,
oh
moyo
nakupa
moyo
Baby,
oh,
moyo
pokea
moyo
Aah,
oh,
moyo
nakupa
moyo
Baby,
oh,
moyo
pokea
moyo
Mambo
pikiji
pikiji
twajisosomola
Penzi
si
la
kienyeji
viwango
vya
dola
Mnaotuma
vimeseji
mnataka
kunipora
Ananionesha
baby
mjue
nawachora
Ooh,
ah,
eti
nikikuona
Ooh,
ah,
naona
raha
mbona
Ooh,
ah,
eti
nikikuona
Ooh,
ah,
naona
raha
mbona
(Kamix
Lizer)
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.