Diamond Platnumz - Ntampata Wapi - traduction des paroles en anglais

Paroles et traduction Diamond Platnumz - Ntampata Wapi




Ntampata Wapi
Where Can I Find Her?
Sura Yake Mtaratibu
Her face, so well-arranged,
Mwenye Macho Ya Aibu
With eyes full of shyness,
Kumsahau Najaribuu.
To forget her, I try,
Ila Namkumbuka Sanaa
But I remember her so much.
Umbo Lake Mahbibu
Her form, my beloved,
Kwenye Maradhi Alionitibu
From the illness she cured me,
Siri Yangu Ukaribuu
My secret intimacy,
Bado Namumbuka Sanaa
I still remember her so much.
Alionifanya Silali, Jua Kali
She made me stay awake, under the hot sun,
Nitafute Tukale
To look for her, so we could eat,
Lakini Hata Hakujali Darling
But she didn't even care, darling,
Akatekwa na Walee
She was captured by the rich ones.
Alionifanya Silali, Jua Kali
She made me stay awake, under the hot sun,
Nitafute Tukale
To look for her, so we could eat,
Ila Wala Hakujali
But she didn't even care,
Darling--ah, aaa.
Darling--ah, aaa.
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Niliompendaga Saana
The one I loved so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Nae Anipende Sana
Who would love me so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Niliompendaga Saana
The one I loved so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Nae Anipende Sana
Who would love me so much,
Aii, Aii Nyotaa ahh
Aii, Aii, fate ahh,
Nyota Ndo Tatizo Langu
Fate is my problem,
Aii Nyota Ahh
Aii fate ahh,
Hadi Nalia Pekee Yangu
Until I cry alone,
Aii Nyota Ahh
Aii fate ahh,
Nyota Ndio Shida Yangu
Fate is my problem,
Nyota Ahh
Fate ahh,
Wamenizidi Wenzangu
My peers have surpassed me,
Alidanganywa na Wale (Walee)
She was deceived by those (the rich ones),
Wenye Pesa Nyumba Gaari (Gaari)
With money, houses, cars (cars),
Mi kapuku Hakunijali (Jaali)
I'm poor, she didn't care (fake),
Akanimbiaa
She told me,
Alidanganywa na Wale (Walee)
She was deceived by those (the rich ones),
Wa Mapesa Nyumba Gaari (Gaari)
With money, houses, cars (cars),
Mi Mnyonge Hakunijali (Jaali)
I'm weak, she didn't care (fake),
Akanikimbiaa
She ran away from me.
Alionifanya Silali, Jua Kali
She made me stay awake, under the hot sun,
Nitafute Tukale
To look for her, so we could eat,
Lakini Hata Hakujali Darling
But she didn't even care, darling,
Akatekwa na Walee
She was captured by the rich ones.
Alionifanya Silali, Jua Kali
She made me stay awake, under the hot sun,
Nitafute Tukale
To look for her, so we could eat,
Ila Wala Hakujali
But she didn't even care,
Darling--ah, aaa.
Darling--ah, aaa.
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Niliompendaga Saana
The one I loved so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Nae Anipende Sana
Who would love me so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Niliompendaga Saana
The one I loved so much,
Ntampata Wapi Kama Yule
Where can I find someone like her,
Nae Anipende Sana
Who would love me so much,
Bado Ananijia Ndotoni (Baado)
She still comes to me in my dreams (Still),
Kila Nikiamka Simwoni (Baado)
Every time I wake up, I don't see her (Still),
Bado Anjia Nikilalaa
She still comes when I sleep,
Haki Ya Mungu Sio Masialaa
By God, it's not a joke,
Bado Ananijia Ndotoni (Baado)
She still comes to me in my dreams (Still),
Kila Nikiamka Simwoni (Baado)
Every time I wake up, I don't see her (Still),
Bado Anjia Nikilalaa
She still comes when I sleep,
Haki Ya Mungu Sio Masialaa
By God, it's not a joke,
Yo Touch Clever (Baado)
Yo Touch Clever (Still),
Hii Ni Sauti Ya Raisi
This is the voice of the president,
Iliomshindaga Ibilisi
That defeated the devil,
Kwa Mwanadamu Sio Rahisi
For a human it's not easy,
Kamwambie...
Tell him...
Lazima Ujue Kutofautisha
You must know how to differentiate,
Kati Ya Msalaba na Jumlisha
Between the cross and the plus,
Kuna X Ya Kuzidisha
There's X to multiply,
Ni Cheche (cheche.)
It's a spark (spark.),
Bado Ananijia Nkilalaa.
She still comes to me when I sleep.
Haki Ya Mungu Sio Masialaa
By God, it's not a joke.





Writer(s): diamond platnumz


Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.