Fathermoh feat. Shekina Karen - Dai Dai paroles de chanson

paroles de chanson Dai Dai - Fathermoh



Badness
What time it is ndio unafika home
Nilikuwa kwa Beth (ati Beth)
Eeh baby Beth, kwani kuna noma?
Na umelewa? (Sijalewa)
Umelewa? (Mi sijalewa)
Basi niambie perfume gani hunuka harufu ya chrome
Wacha ma issue bora sijakuomba yaku mochoa
Naeza du vile nadai si mi hupiga wera poa
I am sick of this I thought utatulia nikikuoa
Nitatulia wapi? Si we ndo uliimba sherehe ni sheria
Aki ya nani nakaa tu Mejja walai siskii
Niliambiwa na mamorio ule sumbua usimring
Najua stingo za mneti ona nkazama kwa hii shit
Cheki sai unakunywa kuliko ngamia za Isich
Baby umeanza kunitusi? (Eh na huwezi kunishow)
Wee umeanza urazi na hauna ganji inaweza tosha kuniplease
Kukuplease aki ya nani sasa umeanza kukuwa mdeep
Unajua pride ya mwanaume hushukia hapo ntakufix
Utanifix ndume suruali ju siku hizi we ni bitch
Unaniita bitch? Eeh bitch usijaribu kuniseal
Hapa kwangu kuingia time umechelewa ni six
Na hapa kwako siko shule baby give me some please
Na nakushow mi sikudai dai zii na sikudai dai tena
Time time sina mi nadai dai hela
Kai kai you must be a dumb dumb fella
Dai dai nigga mi ni diehard fella
Ati dai dai zii na sikudai dai tena
Time time sina mi nadai dai hela
Oh my you must be a dumb dumb fella
Dai dai nigga mi ni diehard fella
Baby boo I'm sorry I'll never hit you again
Why you lying you promised to be a man but you're ooh
Unajua nakupenda ukora mingi ndio uache
We unafikaganga manane ama juu mi ni mwanamke
But mbona sasa urudi home usiku ka umelewa?
So lazima nipige simu niombe ruhusa ndio nikate?
Okay okay si tuache vita tukuwe kama the Bahati's
Kifuniko ya gas ni rahisi kufungua
Si mapenzi ya kina The Wajesus Family
Ndio uanze kunililia hizo vako sidai
Ya Mulamwah (hio sitaki)
Simba na Zuchu? (Ufiche nani?)
Basi Njugush (we si mfunny)
Na Will Smith?
Na nakushow mi nakudai dai mina nakudai dai tena
Aii aii nigga we ndo my John Cena
Ngai mummy you must be a gorgeous fella
Why lie nigga you're my lifetime healer
Nakudai dai mina nakudai dai tena
Aii aii nigga we ndo my John Cena
Ngai mummy you must be a gorgeous fella
Why lie you're my lifetime healer



Writer(s): Moses Otieno


Fathermoh feat. Shekina Karen - Dai Dai
Album Dai Dai
date de sortie
01-08-2022



Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.