Jua Cali - 10.Rrrrrrrrrr - traduction des paroles en anglais

10.Rrrrrrrrrr - Jua Calitraduction en anglais




10.Rrrrrrrrrr
10.Rrrrrrrrrr
Me nakuambia umebarikiwa si mchezo
My love, when you say you are blessed, it's not a joke
RRRRR Kila kitu iko sawa kutoka mguu mpaka meno
RRRRR Everything is right, from your feet to your teeth
RRRR Nitafanya juu chini nisikuumize
RRRR I will do everything I can to never hurt you
RRRR Roho yako hiyo safi niilinde
RRRR Protect me with your pure soul
RRRR Lazima dunia mzima ijue we ni wangu
RRRR The whole world must know that you're mine
RRRR Na hivi karibuni unakuja kuishi kwangu
RRRR And soon you'll come to live with me
RRRR Nikuchunge daily vile inafaa Sababu jo we ni manzi wa maana
RRRR I'll cherish you daily, as you deserve Because you are a true treasure
RRRR Na ni muhimu ujue unapendwa sana
RRRR And it's important for you to know that you are deeply loved
RRRR Tena sana na ni zaidi ya jana
RRRR So deeply, more than yesterday
RRRR Ama juzi vile utataka
RRRR Or even the day before, if that's what you need
RRRR We si baiby tena we ni mama
RRRR You're not just my baby anymore, you're my everything
RRRR Sai wanaongea mbaya lakini me
RRRR Now they may talk badly, but me
Siwasikizi Umenikoroga ata siskii wanasema nini
I don't listen to them You've enchanted me, I don't care what they say
RRRR Niambie kitu yoyote me nitafanya
RRRR Tell me anything, and I'll do it
RRRR Niambie mahali popote me nitahama
RRRR Tell me to go anywhere, and I'll leave
RRRR Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Hakuna
RRRR I love you I love you I love you There is no
Mwengine Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Mimi me
Other I love you I love you I love you
Nakupenda Hakuna mwengine Nachanganyikiwa kila saa nikikuona
No other I lose my mind every time I see you
RRRRR Mtu wangu we ni addictive kama soccer
RRRRR You're addictive like soccer
RRRRR Premier legue we ni number moja
RRRRR Premier League, you're number one
RRRRR Hawa wengine itabidi wamengoja
RRRRR The others will just have to wait
RRRRR Chini chini wanajaribu kunyemelea Chini chini
RRRRR They're below, trying to slide in They're below
Wanajaribu kunihemea Lakini niko focused mbaya sana
They're trying to trick me, but I'm too focused
RRRRRR Hakuna kitu inaweza nitoa hapa
RRRRRR There's nothing they can do about it
RRRRR Ni wewe na mimi, mimi na wewe
RRRRR It's just you and me
RRRRR Na itakuwa hivyo wapende wasipende
RRRRR And that's how it's going to stay
RRRRR Kazi yao ni kutuangalia tu Na roho ngumu zikona machungu
RRRRR Their job is just to watch us with their little hearts filled with bitterness
RRRRR Me nakaa hapa tu nikicheka Hawatambui vile roho yangu umeiweza
RRRRR Me? I'll just sit here and laugh They don't realize how much you've captured my soul
RRRRR Na ni miaka mingi itabaki hivyo Na nitakuwa na wewe mpaka mwisho
RRRRR And it will stay that way for years to come I'll be with you till the end
RRRRR Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Hakuna
RRRRR I love you I love you I love you There is no
Mwengine Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Mimi
Other I love you I love you I love you
Me nakupenda Hakuna mwengine Usijitishe na kitu yoyote
No other Don't let anything hold you back
RRRRR Usitishwe na mtu wowote
RRRRR Don't let anyone stop you
RRRRR Nangos ikipigwa we jua ni biashara
RRRRR When the whistle blows, you'll know it's for real
Ya kujenga maisha yetu ya baadaye ikue sawa
For making a better life for us
RRRRR Unajua kunituliza ka nimechoka
RRRRR You know how to calm me down when I'm tired
RRRRR Jioni hausahau kuniwekea maji ya kuoga
RRRRR You always remember to put out fresh water
RRRRR Nikiingia kejani uninivua viatu
RRRRR When I come home, you take off my shoes
RRRRR Unimassage kiasi
RRRRR You massage me
RRRRR mpaka ma saa tatu
RRRRR Until it's three in the morning
RRRRR Halafu unaandaa chakula tamu kwa meza
RRRRR Then you prepare a delicious meal
RRRRR Kwanza kuku ya jana iliweza
RRRRR Last night's chicken was amazing
RRRRR Ona vile boy wako amenawiri Maisha ya
RRRRR Look how your boy has flourished This bachelor's
Ubachelor staki si siri Unapiga magoti unaniambia asante
Life isn't for me, that's no secret On your knees, you thank me
RRRRR Napiga magoti nakupiga mate
RRRRR I get on my knees and give you a kiss
RRRRR Nakuangalia kwa macho nakuambia nakupenda
RRRRR I look into your eyes and say, I love you
RRRRR Hakuna mtoto mwengine ka wewe Miss Kenya
RRRRR There's no other girl like you Miss Kenya
RRRRR Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Mimi me nakupenda Hakuna
RRRRR I love you I love you I love you There is no
Mwengine Mimi me nakupenda Mimi me
Other I love you I love you
Nakupenda Mimi me nakupenda Hakuna mwengine
No other I love you There is no other






Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.