Maua Sama - Niteke (feat. Harmonize) paroles de chanson

paroles de chanson Niteke (feat. Harmonize) - Maua Sama



Hahaha Jeshi
Konde Boy
(Kimambo on the beat)
Kipele kimegeuka kindonda
Ndonda ndonda eeh
Usichanganye na mdele mwenzako nitakonda eeh
Konda konda eeh
Ninakonda mara sisi sisimka
Nikipitisha ulimi kwenye ziwa (nyasa)
Bi-bi binuka
Miguu kichwa chini nachanganyikiwa
Tena usiku si hatulali
Nampa mambo adim adim dim
Sio kimoko chali
Mikono ipo kwa sim sim sim
Ongeza feni mama nasweti eeh (niteke)
Tuchuane kama kareti (niteke teke)
Ngololo malewa shakushaku
Sikurekodi mi ni jeshi si mwijaku
Zilisha mnyama
Mwaga mwaga ma
Zilisha mnyama
Mwaga mwaga ma
Uma fiti, nidhibiti
Ukimumunya pipi
Utamu wa kisiginoni
Nichikiche nichikichi
Na shovu nnje ya kiti
Leo nakesha kilindoni
Nitwange nipepete
Nisage nichekeche
Nikande niumbuke
Kilima nipandishe
Kibinda nkoi nkoi (aaee eeh)
Kiwinda pori pori (aaee)
Naringa doli doli (aaee eeh)
Mawinga chori chori
Niteke (mateka niteke)
Niteke (niteke teke niteke)
Niteke teke (mateka niteke)
Niteke! ooooh
Zilisha mnyama
Mwaga mwaga ma
Zilisha mnyama
Mwaga mwaga ma
Mateka niteke
Niteke teke niteke
Mateka niteke
Ooooh
Kimambo, they call me Jeshi(Bunge)
Leo mjukuu kala majuto
Siku zote sindano inakaaga mbali na puto



Writer(s): Maua Sama


Maua Sama - Niteke
Album Niteke
date de sortie
22-10-2019




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.