paroles de chanson Niache - Mimi Mars
Kila
hatua
dua
Nilishasahau
zile
njia
tulizopitia
Domo
kungaka
ngaka
Maneno
bila
mpaka
Hukuniamini
siku
we
Moyo
sikumpa
mwingine
Sikujua
mbeleni
utaleta
kisirani
Ukanishusha
thamani
Sitaki
ngo
nenda
zako
Hukujua
ulichonacho
Ukaanza
leta
miyeyusho
Never
never
never
again
Hebu
niache
mie
Hebu
niache
Sitaki
kungangana
Kwanza
hunidai
Mwiko
kuninanga
Nishakukinai
Oh
yeah
Bado
nadanga
Natamba
Babu
punguza
kiranga
Meli
nishavua
nanga
Asili
yangu
ni
kuwamba
Hukujua
ulichonacho
Ukaanza
leta
miyeyusho
Never
never
never
again
Hebu
niache
mie
Hebu
niache
Niache
mie
Ukanichoma
msumari
Ukanipiga
kabari
Ukaniona
me
si
mwali
Ukazima
kibatari
Teve
teve
ye
Nethimuenda
Hebu
niache
mie
Hebu
niache
Niache
mie
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.