Sauti Sol feat. Aaron Rimbui - Kuliko Jana paroles de chanson

paroles de chanson Kuliko Jana - Sauti Sol feat. Aaron Rimbui



Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Nakuomba Mungu uwasamehe
Wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
Na maadui wangu nawaombea maisha marefu
Wazidi kuona ukinibariki
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimkana Yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimsulubisha Yesu Messiah bila kusita
Ooh, na
Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Ooh-ooh, yeah)
Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona baba nakutegemea (Oh-oh)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Eh, wewe ndio nategemea)
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona baba nakutegemea (Eh, bwana)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Eh, maisha yangu yote)
Wewe ndio nategemea (Kwa nguvu zangu zote)
Kufa kupona baba nakutegemea (Nakutegemea)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea (Oh-oh-oh-oh)
Na bwana ni mwokozi wangu
Na tena ni mkombozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana (Kuliko jana)
Kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana (Kuliko jana)
Kuliko jana (Kuliko jana)
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea (Wewe)
Kufa kupona baba nakutegemea (Wewe)
Chochote kitanikatsia (Uh-huh)
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea (Ooh)
Kufa kupona baba nakutegemea (Nakutegemea)
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Na bwana ni mwokozi wangu (Amen)
Tena ni mkombozi wangu (Amen)
Ananipenda leo kuliko jana (Amen)
Baraka zake hazikwishi (Amen)
Si kama binadamu habadiliki (Amen)
Ananipenda leo kuliko jana (Amen)
Kuliko jana
Kuliko jana
Nipende leo kuliko jana



Writer(s): bien-aime baraza, delvin savara mudigi, polycarp o. otieno, willis austin chimano


Sauti Sol feat. Aaron Rimbui - Live and Die In Afrika
Album Live and Die In Afrika
date de sortie
27-11-2015



Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.