paroles de chanson Kuliko Jana - Sauti Sol feat. Aaron Rimbui
Bwana
ni
mwokozi
wangu
Tena
ni
kiongozi
wangu
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Baraka
zake
hazikwishi
Si
kama
binadamu
habadiliki
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
Kuliko
jana
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
Kuliko
jana
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Nakuomba
Mungu
uwasamehe
Wangalijua
jinsi
unavyonipenda
mimi
wasingenisema
Na
maadui
wangu
nawaombea
maisha
marefu
Wazidi
kuona
ukinibariki
Ujue
binadamu
ni
watu
wa
ajabu
sana
Walimkana
Yesu
mara
tatu
kabla
jogoo
kuwika
Ujue
binadamu
ni
watu
wa
ajabu
sana
Walimsulubisha
Yesu
Messiah
bila
kusita
Ooh,
na
Bwana
ni
mwokozi
wangu
Tena
ni
kiongozi
wangu
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Baraka
zake
hazikwishi
Si
kama
binadamu
habadiliki
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
Kuliko
jana
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
Kuliko
jana
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Wewe
ndio
nategemea
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Amen)
Chochote
kitanikatsia
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
(Ooh-ooh,
yeah)
Wewe
ndio
nategemea
(Amen)
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Oh-oh)
Chochote
kitanikatsia
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
(Eh,
wewe
ndio
nategemea)
Wewe
ndio
nategemea
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Eh,
bwana)
Chochote
kitanikatsia
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
(Eh,
maisha
yangu
yote)
Wewe
ndio
nategemea
(Kwa
nguvu
zangu
zote)
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Nakutegemea)
Chochote
kitanikatsia
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
(Oh-oh-oh-oh)
Na
bwana
ni
mwokozi
wangu
Na
tena
ni
mkombozi
wangu
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Baraka
zake
hazikwishi
Si
kama
binadamu
habadiliki
Ananipenda
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
(Kuliko
jana)
Kuliko
jana
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Kuliko
jana
(Kuliko
jana)
Kuliko
jana
(Kuliko
jana)
Yesu
nipende
leo
kuliko
jana
Wewe
ndio
nategemea
(Wewe)
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Wewe)
Chochote
kitanikatsia
(Uh-huh)
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
Wewe
ndio
nategemea
(Ooh)
Kufa
kupona
baba
nakutegemea
(Nakutegemea)
Chochote
kitanikatsia
Kuingia
mbinguni
utaniondolea
Na
bwana
ni
mwokozi
wangu
(Amen)
Tena
ni
mkombozi
wangu
(Amen)
Ananipenda
leo
kuliko
jana
(Amen)
Baraka
zake
hazikwishi
(Amen)
Si
kama
binadamu
habadiliki
(Amen)
Ananipenda
leo
kuliko
jana
(Amen)
Kuliko
jana
Kuliko
jana
Nipende
leo
kuliko
jana
1 Sura Yako
2 Live and Die In Afrika
3 Say Yeah
4 Isabella
5 It's Okay
6 Nishike
7 Dollar Dollar
8 Still the One
9 Kiss Me
10 Nerea
11 Kuliko Jana
12 Sambo Party
13 Nipe Nikupe
14 Shake Yo Bam Bam
15 Relax
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.