Текст песни Mapenzi Basi - Diamond Platnumz
                                                Yalinifanya 
                                                nikaugua
 
                                    
                                
                                                Mara 
                                                napanga 
                                                napangua
 
                                    
                                
                                                Mwili 
                                                ukakonda 
                                                nikapungua
 
                                    
                                
                                                Oh 
                                                sikulala, 
                                                sikulala
 
                                    
                                
                                                Oh 
                                                maradhi 
                                                nikaugua 
                                                oh
 
                                    
                                
                                                Yakanichoma 
                                                na 
                                                kuungua 
                                                roho
 
                                    
                                
                                                Kutwa 
                                                nawaza 
                                                na 
                                                kuwazua
 
                                    
                                
                                                Sikulala, 
                                                sikulala
 
                                    
                                
                                                Hayo 
                                                mapenzi 
                                                bwana
 
                                    
                                
                                                Hayana 
                                                maana
 
                                    
                                
                                                Yalinifanya 
                                                mi 
                                                nichekwe
 
                                    
                                
                                                Sababu 
                                                yake 
                                                nishagombana
 
                                    
                                
                                                Nikatukanwa
 
                                    
                                
                                                Lakini 
                                                akanipiga 
                                                teke, 
                                                ai
 
                                    
                                
                                                Haya 
                                                mapenzi 
                                                bwana
 
                                    
                                
                                                Hayana 
                                                maana
 
                                    
                                
                                                Yalinifanya 
                                                mi 
                                                nichekwe
 
                                    
                                
                                                Sababu 
                                                yake 
                                                nikagombana
 
                                    
                                
                                                Usiku 
                                                mchana
 
                                    
                                
                                                Yeye
 
                                    
                                
                                                Mi 
                                                mwenzenu 
                                                tena 
                                                basi
 
                                    
                                
                                                Oh 
                                                mapenzi 
                                                sitaki
 
                                    
                                
                                                Oh 
                                                mwenzenu 
                                                tena 
                                                basi
 
                                    
                                
                                                Basi, 
                                                basi 
                                                sitaki 
                                                (mara 
                                                2)
 
                                    
                                
                                                Oh 
                                                nilishagombana 
                                                na 
                                                mama 
                                                mzazi
 
                                    
                                
                                                Akataka 
                                                nimwagia 
                                                radhi
 
                                    
                                
                                                Sababu 
                                                yule 
                                                fulani
 
                                    
                                
                                                Wa 
                                                moyo 
                                                wangu
 
                                    
                                
                                                Yakaleta 
                                                zengwe 
                                                kwa 
                                                kazi
 
                                    
                                
                                                Ugomvi 
                                                wa 
                                                simba 
                                                na 
                                                panzi
 
                                    
                                
                                                Vurugu 
                                                kwa 
                                                majirani
 
                                    
                                
                                                Ai 
                                                eh 
                                                Mola 
                                                wangu
 
                                    
                                
                            Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.