Diamond Platnumz - Naanzaje текст песни

Текст песни Naanzaje - Diamond Platnumz



(Ayolizer)
Aliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi
Kaumba nafsi, kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi
Na kukuacha sidhani, siwezi jaribu
Maana penzi kwa mzani, umenizidi mahabibu
Shika vyema usukani, twende taratibu
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tam tam kama pipi
Nakuita sweet, ah lote lote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi? Kama lote
Vicheche nisha delete
Sitaki cheat, wa toke toke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, so kukuacha oh
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mimi hapa)
Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mi jamani)
Kukuacha oh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishenshuda poleni woo, mnalo wambeya
Mtaja kuumwa makwashakoo, kwa kutuongelea
Tena me kwake ndo daktari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba haa!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Tuepushe madhohari, ya wanadamu
Ah ah, we mtam tam kama pipi
Nakuita sweet, ah lote lote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi? Kama lote
Vicheche nisha delete
Sitaki cheat, wa toke toke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, so kukuacha woo woo
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mimi hapa)
Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mi jamani)
Kukuacha oh, kabisa siwezi
Na kukuacha sidhani
Siwezi jaribu
Maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu
(Wasafi)



Авторы: Diamond Platnumz


Diamond Platnumz - Naanzaje - Single
Альбом Naanzaje - Single
дата релиза
23-08-2021




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.