Dully Sykes feat. Harmonize - Nikomeshe текст песни

Текст песни Nikomeshe - Dully Sykes , Harmonize



Oooh No,
Kesi serious... Chii
Konde Boy
Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
Wanishika kwa hapa(brr Okey)
Kwacho kwacho kwapa(brr Okey)
We nishike kwa hapa
She is so fine, anapendeza hata bila vipodozi
Eeh, and I love she giving me over dozi
Eeeh, I love the way you move your body
(Eeh eeh body oooh)
Unanipandisha midadi (eeh eeh body oooh)
Eeeh eeh, kachiri kachiri saga
Inuka funga kanga, kachiri saga
Matajiri matajiri saga
Huko wanajipanga matajiri
Basi go down, kwa nyuma
Fanya kama mbuzi amegoma
Slow down kwenye kona, ii
Mwisho wa reli kigoma
Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(Iii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
Nasema sikuwatch, beiby nakukunda
Unavyo ilamba mie hoi
Unajuwanga kuni touch
Nani kakufunda, hiyo misamba sikohoi
Eeeh, waking′ata nakuuliza we
Kwa jiko watenga ni kuunguza kisoi
Yaani tuzidi kuwaumiza we
Naleta washenga tuwaache igizo we
Itafune ing'ate ka Big G
Aaah kama Big G
Kisha nikumbate tujigiji
Aaah tujigiji
Nikomeshe!
Mpaka chini waonyeshe
Aah, asa beiby nikomeshe
(Fanya kama unadunda, aah unadunda)
Mpaka chini waonyeshe
(Ebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
(Ii, fanya kama unadunda, aah unadunda)
(Hebu tulicheze rhumba, aah hilo rhumba)
Ebo! anafanyaje tena?
Analenga, anale
Anaonyesha maufundi
Analenga, anale
Hii, uno la mgambo kama gundi
Analenga, anale
Anafanya kama anapanda juu ya dari
Analenga, anale
Hii kameinuka kichaa kichaa
Analenga, anale
Eeey, brrr Okey
(OMG is Spenser)



Авторы: Dully Sykes


Dully Sykes feat. Harmonize - Nikomeshe
Альбом Nikomeshe
дата релиза
11-06-2019


Еще альбомы
Исполнитель Dully Sykes feat. Harmonize, альбом Kadamshi
2018
все альбомы


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.