Etana - Malaika текст песни

Текст песни Malaika - Etana




Malaika, nakupenda malaika
Malaika (malaika), nakupenda malaika
Ningekuoa mali we
Ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Nashindwa na mali sina we (mali sina we)
Ningekuoa malaika
Pesa (pesa), zasumbua roho yangu (ooh)
Pesa (pesa), mm, zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje
Kijana mwenzio
Ay, nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Kidege (kidege), kukuwaza kidege
Uh, kidege (kukuwaza), kukuwaza kidege
Nami nifanyeje, yeah
Kijana mwenzio, oh
Ay, nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Ningekuoa malaika
Ningekuoa malaika
Malaika, nakupenda malaika
Ningekuoa mali we
Ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa malaika
Nashindwa na mali sina we (mali sina we)
Ningekuoa malaika
Ningekuoa malaika, mm
Ningekuoa malaika



Авторы: Adam Salim, Andre Morris, Shauna Mckenzie



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.