Ibraah - Jipinde текст песни

Текст песни Jipinde - Ibraah



Ye aah chinga aaah
Moja nikusifie we kama katuni mwendo hauna kasoro
Na kawimbo ni kuimbie sio kwa mafumbo
Kweli mwali mwali nimefollow shida ya upendo
Uko moyoni natamani nikuoneshe ila hauonekani
We my sweet my hani bani nimependa kweli
Sio ku having fun ouwoo o
Oooh darling darling sweet sweet
Ile mida flani ndani tukwichi kwichi
Couple ishagonga na twitt twitt
Haujaniova saizi yani fits fiti weee
Kama unainuka mama unainama nyosha mugongo kidogo
Jipinde kama unaji kunja mama una chutama kama unakuja kidogo
Jipinde Aawe aaye awee baby jipinde
Awee aaye aawe baby jipinde
No no no olea houwo wowo eeeh
Njoo nikupe kipande cha muwa awe
Na ninavyo kupenda siunajuwa awe
Vile huwezi kujishauwa kama kiuno kata
Kama nyonga teuwa awe
Mafuta nikupakaze kwa zako nywele
Hadi lips nauli usije dengua binuka utamu nipate
Kwenye pete ninase nikupe yote
Sipimi na tuimbe doli doli doli kwa yako migandisho
Maa kama mudoli doli doli doli maana
Mapenzi popote hata ikiwa kwa poli eeh
Darling darling sweet sweet ile mida flani
Ndani tukwichi kwichi couple ishagonga na twitt twit
Haujaniova saizi yani fiti fiti wee
Kama unainuka mama unainama nyosha mugongo kidogo
Jipinde kama unaji kunja mama una chutama kama unakuja kidogo
Jipinde Aawe aaye awee baby jipinde
Awee aaye aawe baby jipinde




Ibraah - Jipinde - Single
Альбом Jipinde - Single
дата релиза
18-08-2021




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.