Текст песни Sign the Line - ICON
Wachawi
fulani
wanamake
wigo
Hatuna
time
ya
kujibu
mapigo,
Si
tunawaza
tu
kumake
mshiko
Aaaaah,
and
now
we
go...
The
Icon
I
still
remember
the
time
ambapo
navaa
kiatu
kimoja
Naenda
shule
me
everyday,
Mama
anasema
mwanangu
ngoja
Mambo
yatakua
vizuri
nawe
utaenda
salama,
vishawishi
kiburi
epuka
Muombe
wako
Maulana
Oooh!
Hata
wanishushe
chini
Nibaki
mimi
nitasimama
sidondoki
natumaini
Hata
wanishushe
chini
nibaki
mimi
Nitasimama
sidondoki
natumaini
Endapo
sina
wewe
Hope
I
have,
hope
I
have
Endapo
sina
wewe
Hope
I
have,
hope
I
have
Kama
utani
utani
boy
Zile
hustle
mtaani
hoi
Na
hamnishushi
chini
chini
Kiufupi
hamnitoi
Kila
kupita
pozi
na
picha
Wanasemaga
eti
me
bishoo
Silewi
sifa
sifake
maisha
Nilipotoka
Ni
msoto
Najua
raha
najua
njaa,
so
sibabaiki
Nazile
shida
za
mtaa
maneno
wanafiki
Bila
Me
aulana
wee,
huwezi
kwenda
mbele
(hey
hey)
Wengi
watakukana
wee,
unachofanya
wasione
(hey
hey)
Bila
maulana
wee,
huwezi
kwenda
mbele
(hey
hey)
Wengi
watakukana
wee,
unachofanya
wasione
Ooh!
Hata
wanishushe
chini
Nibaki
mimi
nitasimama
sidondoki
natumaini
Hata
wanishushe
chini
nibaki
mimi
Nitasimama
sidondoki
natumaini
Endapo
sina
wewe
Hope
I
have,
hope
I
have
Endapo
sina
wewe
Hope
I
have,
hope
I
have
(Oooh
ooo
eeeh
oooh
oooh
ooo
eeeh
oooeeeee
oooooooh)
Tumaini
langu
ipo
kesho
yangu
Naaaaaaa
amini
Naaaaaaa
naamini
tumaini
langu
Nilijikwaa
nikadondoka
(kesho
yangu)
Nimeamka
nikaondoka
(tumaini
langu)
Ninamatumaini,
najiamini,
nikomakini,
sishushwi
tena
chini.
Amen.
![ICON - Sign the Line](https://pic.Lyrhub.com/img/t/1/1/j/q1aruzj11t.jpg)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.