Kidum Kibido - Nakupenda текст песни

Текст песни Nakupenda - Kidum Kibido




Umekuwa ukizusha
Ati kwamba mimi nakucheza
Hata simu zangu nikipiga huchukuwi
Nashindwa ni nini mbaya nimefanya
Wenye nia mbaya
Hakika hawataki kutupa amani
Mambo yao nikubuni hali ya sitofahamu
Ili mwisho unichukiye
Saa zingine mimi uhisi nishike mtu mashati
Na nianze vita
Bahati mzuri
Mimi si aina mtu wa ugomvi
My baby nimeumbwa tu nikubembeleze
Ili moyo wako unirudiye
Ndiyo sababu nakupa aka kawimbo (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Nakupenda mpenzi wangu wacha wasi wasi
Ndiyo sababu nakupa aka kawimbo (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Usiwe na wasi wasi mpenzi (nakupenda)
Mpenzi wangu wacha wasi wasi
Inasikitisha sana
Haya mambo yakutuchonganisha
Yaani mtu mzima mwenye akili timamu
Anaweza aje kuwa mdaku kiyasi hicho
Nimepakwa tope kwa kuwekelewa thambi zote
Wengine hutaka nisulubiwe msalabani wapenzi lako
Wachana nao
Wamejawa na wivu kwa roho zao
Ma baby nimeumbwa tu nikufurahishe
Mambo mengine yote ni upuuzi kwangu
Hakikisho kutoka kwangu baby (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Sihitaji bunge kuni tetea (nakupenda)
Wala bunge la seneti
Mpenzi wangu wacha wasi wasi
Sihitaji mtu wa kuni tetea (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Take it from me, take it from me (nakupenda)
Mpenzi wangu wacha wasi wasi
Sihitaji bunge kuni tetea Ohh ohh
Hakikisho kutoka kwangu (kwangu)
Hili ni hakikisho
Nasema hili ni hakikisho ooh (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Chote unataka minitatenda(nakupenda)
Take it from me, take it from me
Mpenzi wangu wacha wasiwasi
Take it from me, take it from me (nakupenda)
Chote unataka minitatenda(nakupenda)
Mpenzi wangu wacha wasi wasi



Авторы: Jean-pierre Nimbona


Kidum Kibido - Nakupenda
Альбом Nakupenda
дата релиза
16-11-2019



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.
//}