Текст песни Nakupenda - Kidum Kibido
Umekuwa
ukizusha
Ati
kwamba
mimi
nakucheza
Hata
simu
zangu
nikipiga
huchukuwi
Nashindwa
ni
nini
mbaya
nimefanya
Wenye
nia
mbaya
Hakika
hawataki
kutupa
amani
Mambo
yao
nikubuni
hali
ya
sitofahamu
Ili
mwisho
unichukiye
Saa
zingine
mimi
uhisi
nishike
mtu
mashati
Na
nianze
vita
Bahati
mzuri
Mimi
si
aina
mtu
wa
ugomvi
My
baby
nimeumbwa
tu
nikubembeleze
Ili
moyo
wako
unirudiye
Ndiyo
sababu
nakupa
aka
kawimbo
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda
Nakupenda
mpenzi
wangu
wacha
wasi
wasi
Ndiyo
sababu
nakupa
aka
kawimbo
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda
Usiwe
na
wasi
wasi
mpenzi
(nakupenda)
Mpenzi
wangu
wacha
wasi
wasi
Inasikitisha
sana
Haya
mambo
yakutuchonganisha
Yaani
mtu
mzima
mwenye
akili
timamu
Anaweza
aje
kuwa
mdaku
kiyasi
hicho
Nimepakwa
tope
kwa
kuwekelewa
thambi
zote
Wengine
hutaka
nisulubiwe
msalabani
wapenzi
lako
Wachana
nao
Wamejawa
na
wivu
kwa
roho
zao
Ma
baby
nimeumbwa
tu
nikufurahishe
Mambo
mengine
yote
ni
upuuzi
kwangu
Hakikisho
kutoka
kwangu
baby
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda
Sihitaji
bunge
kuni
tetea
(nakupenda)
Wala
bunge
la
seneti
Mpenzi
wangu
wacha
wasi
wasi
Sihitaji
mtu
wa
kuni
tetea
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda
Take
it
from
me,
take
it
from
me
(nakupenda)
Mpenzi
wangu
wacha
wasi
wasi
Sihitaji
bunge
kuni
tetea
Ohh
ohh
Hakikisho
kutoka
kwangu
(kwangu)
Hili
ni
hakikisho
Nasema
hili
ni
hakikisho
ooh
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda
Chote
unataka
minitatenda(nakupenda)
Take
it
from
me,
take
it
from
me
Mpenzi
wangu
wacha
wasiwasi
Take
it
from
me,
take
it
from
me
(nakupenda)
Chote
unataka
minitatenda(nakupenda)
Mpenzi
wangu
wacha
wasi
wasi
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.