Marioo - Raha текст песни

Текст песни Raha - Marioo



Blacq
Ah unaringa umepima ah utajijuu
Huu mwaka utachina si ulileta unyang'au
Hukaukwi kunitishia unaondoka unaondoka
Kama daladala za kariakoo inatoka inatoka
Hadharani unanisusia kuropoka ropoka
Kama domo lako shimo la choo yanakutoka
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka maana nishapata pakuegemea
Mh napendwa na sio kwa ninavojidekea
Hulka yako ya pupa mwenzako
Ananinyenyekea
Ooh kutendwa nakusikia kwenye bomba
Na tena na enjoy mpa ka raha mmh mpaka
Natakatishwa mp aka raha mmh mpaka
Ananipaga kutwa mara tatu mpa ka raha mmh mpaka
Naogeshwa nakandwa mpa ka raha mmh mpaka
Na tena na enjoy
Napenda akinipa akinipa migandisho
Na kama penzi lake bahari kwa muda naelea
Maana nishazamaga nishakufa mzoga
Na kama penzi melody kali mi kwake ndio burudani
Wala sidhani ka'ataridhika kunikosa
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka maana nishapata kwa kuegemea
Mh napendwa na sio kwa ninavojidekea
Hulka yako ya pupa mwenzako ananinyenyekea
Ooh kutendwa nakusikia kwenye bomba
Na tena na enjoy mpa ka raha mmh mpaka
Natakatishwa mpa ka raha mmh mpaka
Ananipaga kutwa mara tatu mpa ka raha mmh mpaka
Naogeshwa nakandwa mpa ka raha mmh mpaka
Na tena na enjoy



Авторы: Marioo


Marioo - Raha
Альбом Raha
дата релиза
25-06-2019

1 Raha


Еще альбомы
Исполнитель Marioo, альбом WOW
2021
Исполнитель Marioo, альбом For You
2021
Исполнитель Marioo, альбом Mama Amina
2020
Исполнитель Marioo, альбом Mama Amina
2020
Исполнитель Marioo, альбом Tikisa
2020
Исполнитель Marioo, альбом Asante
2020
Исполнитель Marioo, альбом Unanionea
2020
Исполнитель Marioo, альбом Kongoro
2020
Исполнитель Marioo, альбом Aya
2020
Исполнитель Marioo, альбом Ya Uchungu
2019
все альбомы


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.