Текст песни Iokote - Maua Sama
Hey
Heey...
Oh
uuuh
yeah
Oh
baby,
niruhusu
tufanane
Huku
nikiamini
one
day,
Utanioa
aah
Baby
nikikuona
nabanwa
na
haja
Baby
nakuwaga
kitoto
ng'ag'aa
Tell
me
nikipita
kupa
mawazo
Ooh
baby
kati
nakutunuku
uliniambia
Kwa
kichomi
nikande
Kwa
moto
baridi
usigande
Kama
ruba
nigande
Tuwe
wote
eeh
Aah
come
baby
come
baby
Msumali
kwa
nyundo
nigonge
Ohh
Monday
to
Sunday
I
love
you
Mmmh
oh
basii
(Lokote)
Sio
kwa
bed
kwa
kochi
kitanda
naichumia
(Iokote)
Nikiona
kwa
juu
chini
naizamia
(Iokote)
Sungura
nipe
karoti
maharage
sijazoea
(iokote)
Nakunja
goti
napandisha
mori
nachechemea
Oh
yeaaahh...
Baby...
Baby
Ukitoka
kuoga
nitengee
ya
moto
moto
(aah)
Tinga
moka
kitenge
tutoke
mtoko
(aaah!)
Boda
kwa
boda
tutembee
(Chocho
kwa
chocho)
Tena
nikichoka
nibebe
(Mi
kwako
mtoto)
Aiye
eh
Rafudhi
ya
Pemba
rangi
ani
hai
(Hai)
Nywele
kihindi
chambi
chambi
(nai)
Cheza
rafu
kona
bambii,
Mpoko
mpoko
Heeeii
Refa
katupa
penatii
(ahaa
eeh)
Mpira
ushawekwa
katiiii
(aahh
eeh)
Nahitaji
magoli
kwa
chenga
zako
piga
shuti
nikudakie
Kwa
kichomi
nikande
Kwa
moto
baridi
nisigande
Kama
ruba
nikugande
Tuwe
woteee
(eeh)
Uhuu
yeeeeh
Aah
come
baby
come
baby
Msumali
kwa
nyundo
nigonge
Ohh
Monday
to
Sunday
I
love
you
Mmmh
oh
basii
(Lokote)
Sio
kwa
bed
kwa
Kochi
kitandani
naichumia
(iokote)
Nikiona
kwa
juu
chini
naizamia
(Iokote)
Sungura
nipe
karoti
maharage
sijazoea
(iokote)
Nakunja
goti
napandisha
mori
nachechemea
Oh
yeaaahh...
Baby...
Baby

Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.